Transcend
JF-Expert Member
- Jan 2, 2015
- 20,553
- 63,058
Hahahahahaha
Sawaaaa
Kwa bongo ai mini TZ labda kidogo Mkapa Stadium na ikuwe sio tournamentHizi za kibongo nishawahi sana tuu
Ungewahi fika kwenye uwanja wa mpira ungependa mwenyewe...(lakini sio hivi vya bongo)
Last season pekee...



kumbe wewe ndiyo umesema wanafukuza kakitu kamoya?? Sasa hauwashangai wacheza miereka ambao wanapigania mikanda huku asilimia kubwa wamevaa pichu tu?? 


Sijawahi waelewa jamani
MmmhhhKwa bongo ai mini TZ labda kidogo Mkapa Stadium na ikuwe sio tournament


.Hahahahahaha
Akiii umenonaa mpaka unafanania daddy
Hao ndo sijawahi waaangalia!!kumbe wewe ndiyo umesema wanafukuza kakitu kamoya?? Sasa hauwashangai wacheza miereka ambao wanapigania mikanda huku asilimia kubwa wamevaa pichu tu??
Sent using Jamii Forums mobile app








Last season pekee...
Kwa Liver napenda mtazama Mane, Wijnaldum na yule mtoto anacheza shavu la kulia kama full back
Yap unaweza kusema ivo.. Lakini stendi ipo karibu zaidi kuliko icho kiwandaOooh
Karibu na kiwanda cha bia?!