spidernyoka
JF-Expert Member
- Jan 2, 2020
- 8,341
- 22,310
Na nyie hamjui kulenga mimi mtu nkimualika kwenye maisha yangu basi nimejiridhisha ana mipaka ya uchiziNdio utoke huko ulikotoka unakimbilia pm za watu unaanza kumuanika mtu na picha zake eti mlikuwa wote , thats high level of stupidity!
Hata kama ulikuwa naye cha ajabu hapo ni nini? Dumbass🤦🏽♀️
Hebu relax mamaake! Toka zako humu take a deep breath nenda kapumzike!Aisee acha nitulie kwanza naona natetemeka
Ndo ujiulizeKwamba humu kuna vijana walio kosa akili kiasi hicho.?
Hata kama uhusiano wa kimwili upo its not worth it kutangaza watu wameoa humu hvyo sio kitu cha ajabu mpaka utangaze.
Mambo yaajabu sana yapo humu .
Basi atakuwa hapatagi mambo kama hayo kwake ni muujiza mkubwa😂Wanatangazanaga humu
Moja ya sababu ya kukaa guard zipo juu ni hio
Mwana anapewa papa siku wakitibuana anayamwaga
Haya mradi wetu umeuua nami naondoka dec😏Nipo ukanda ule ule tuu. Ni short trip.
Kama kawaida yako kunichekesha usiku!😂Na nyie hamjui kulenga mimi mtu nkimualika kwenye maisha yangu basi nimejiridhisha ana mipaka ya uchizi
Sio kila anaekaa kwenye njia yako unaenda nae
Nothing is powerful enough to confuse you unless you give it that power.Ndo ujiulize
Cha ajabu nn?
Km sio afya ya akili?
Nikisema nipige hesabu ya watu nilio onana nao humu wastaarabu na wanetusaidia mambo ya maana ktk maisha utashangaa sn
Halafu anatokea limbukeni 1 akili za kipuuzi anafuata watu pm huko
Anyway ngoja nitarudi tu na risiti
Yani urudi hapa unitag kabisa asikuzoee huyoo! MxiewwNdo ujiulize
Cha ajabu nn?
Km sio afya ya akili?
Nikisema nipige hesabu ya watu nilio onana nao humu wastaarabu na wanetusaidia mambo ya maana ktk maisha utashangaa sn
Halafu anatokea limbukeni 1 akili za kipuuzi anafuata watu pm huko
Anyway ngoja nitarudi tu na risiti
Imekuwa too much hapana acha amdhibiti mapema huyo mtu!Nothing is powerful enough to confuse you unless you give it that power.
Isihangaike ku-proof kwa hao wajinga utawapa millions reasons za kujiona wao ni better.
Waache tu maybe ndo kula yao hiyo .
Ulevi ni kazi sana 😄😄.Yule mkali yupo hivyo. Ni sawa anko wangu mmoja, mkitaka kupanga mipango vizuri we mtoe, mpeleke pub mpige safari kadhaa, atakachokwambia hapo ndio ukweli na dili lenyewe. 😊
Haya mradi wetu umeuua nami naondoka dec😏
Humu skuizi uchokonozi umekuwa mwingi sana .Imekuwa too much hapana acha amdhibiti mapema huyo mtu!
Ulevi ni kazi sana 😄😄.
Side compliment: rudisha ile avatar ya kitabu ilikua inafit sana.
Sahihi mkuu, unajua character imagination tunaitengeneza kulingana na avatar hapo.Ngoja nirudishe, wewe ni mtu wa pili unanambia hivyo. 😁
We haya ikipita nakuanzishia uzi😅Sept haiishi. Sitaruhusu nionekane msanii. 😊
Acha kabisa!Humu skuizi uchokonozi umekuwa mwingi sana .
Kwahiyo yangu inakuletea imagination ipi kichwani😅Sahihi mkuu, unajua character imagination tunaitengeneza kulingana na avatar hapo.
Picha sahihi ya muhusika tunaipata kulingana na avatar tulio zoea kuiona .
Kama tupo kwenye conversations na devoted partner. 😁Kwahiyo yangu inakuletea imagination ipi kichwani😅
Z anto 😅😅😅binti kiziwi mniachie Z anto spidernyoka tafadhali