Selfika na JF: Snap it. Show it

Asante kwa ushauri napenda sana kwenda gym ila kila nikianza nafanya kwa muda naacha kabisa .napenda sana kula ma junk foods lakin pia ni bingwa wa ku maintain weight yangu nina kg 63 kwa miaka 3 kutoka kg 80

Basi utakuwa una fast metabolism. Thank your genetics for that.

Na kwa kweli mazoezi ya mara kwa mara yanahitaji commitment ya hali ya juu.

Pia lazima mtu uwe ni mpenda kufanya mazoezi. Hicho ndo kitachokupa self-motivation.

💪🏿💪🏿
 

Nilikuwa nasoma naishia njiani, nikirudi nakukuta umoo, unapovuka balaa!! Hakuna comment inakupita mzee dada!!
 
Napenda sana nizae watoto wa kiume kuliko wa kike lakini nikiwaza kwamba na wao wanaweza kuja kuwa mafurushi daah nachoka moyo na ubongo
sijui tuwalee vipi hawa watoto

Sent using Jamii Forums mobile app
Walee katika njia ipasayo tu, maana taabu inaanzia kwetu sisi wazazi. Tunachotaka kukiona sicho tunachokipanda kwa watoto wetu na namna gani tunakipanda.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…