Seran
JF-Expert Member
- Feb 7, 2025
- 33,020
- 94,692
Kwa hivi vichambo hapana aisee🤦🏽♀️Shusha picha ndo ulale seran
Kwa hivi vichambo hapana aisee🤦🏽♀️Shusha picha ndo ulale seran
ila kuna mtu kafa kaoza kwa ajili yake na haoni huo uwasira💃Mimi nshawah kukutana nae mmoja wala nisiwe muongo yeye hachangii anaobserve
Unamfaham Dr Besigye K? au Tyson Wassira
Huyo mama ni umo
Nduki....nasikia wenye hasira hasira,wanaopenda ugomvi ,ukiona hivyo ujue yeye huyo
Subirii wakati mwingine.Weka picha ...
Nilikuwa najaribu kama haupo nijianike basi bana kesho nayo ni siku😎🚶🏽♀️🚶🏽♀️🚶🏽♀️Unataka ulilaze
hahahahahaKwa hivi vichambo hapana aisee🤦🏽♀️
tupo watu wazima jiachie tuNilikuwa najaribu kama haupo nijianike basi bana kesho nayo ni siku😎🚶🏽♀️🚶🏽♀️🚶🏽♀️
We mshenzi nimechekaaa🤣🤣 majirani wakisikia wanajua nimevushaa🙆🏽♀️Mimi nshawah kukutana nae mmoja wala nisiwe muongo yeye hachangii anaobserve
Unamfaham Dr Besigye K? au Tyson Wassira
Huyo mama ni umo
EehKwa hivi vichambo hapana aisee🤦🏽♀️
Mbona nishajiachia sana tu namrusha roho bwana chinotupo watu wazima jiachie tu
hahahahahahahaila kuna mtu kafa kaoza kwa ajili yake na haoni huo uwasira💃
sawa sawaMbona nishajiachia sana tu namrusha roho bwana chino
Yani unalilaza pekee yake.Nilikuwa najaribu kama haupo nijianike basi bana kesho nayo ni siku😎🚶🏽♀️🚶🏽♀️🚶🏽♀️
Sio kwa ubaya hatusemi hawastahili anachosema Min me ni kujiona keki wakati ni wabovu ndo tunasemea hapaila kuna mtu kafa kaoza kwa ajili yake na haoni huo uwasira💃
kitoto cha 2000
MashaalahView attachment 3672937
nimepitaaaaa
Mambo hayoo😍View attachment 3672937
nimepitaaaaa
Hatimaye nimekubahatisha. Nakwenda kulala sasa. Asante binti mwema wa Mungu 🙏🏿😘😘😘