spidernyoka
JF-Expert Member
- Jan 2, 2020
- 8,342
- 22,318
Nami nitalibamba komwe lako.Leo nimekubamba😁
Ngoja nitume kituNipe vitu bwana.
Sikuhizi siweki komwe nishagundua🤣Nami nitalibamba komwe lako.
Wakina nani🥲Wabovu wapo lakini ni kweli
ni kweli ila tunapata mahitaji yote muhimu 😅Wabovu wapo lakini ni kweli
Wapo wanawake wanaongea vingreza vingi jukwaa flaniWakina nani🥲
nasikia wenye hasira hasira,wanaopenda ugomvi ,ukiona hivyo ujue yeye huyoWabovu wapo lakini ni kweli
We pisi kali kabisa body kinandani kweli ila tunapata mahitaji yote muhimu 😅
Mbona hawapo wa namna hiyo😆Wapo wanawake wanaongea vingreza vingi jukwaa flani
Mimi nshawah kukutana nae mmoja wala nisiwe muongo yeye hachangii anaobservenasikia wenye hasira hasira,wanaopenda ugomvi ,ukiona hivyo ujue yeye huyo
Ahahahahaha 🙌🏾Wapo wanawake wanaongea vingreza vingi jukwaa flani
Kama unawafaham wote sawaMbona hawapo wa namna hiyo😆
au sio😄 unae mwanasheria wa kukutetea?We pisi kali kabisa body kinanda
Dahh naomba nilaze komwe😬Kama unawafaham wote sawa
Kiba T yupoau sio😄 unae mwanasheria wa kukutetea?
Shusha picha ndo ulale seranDahh naomba nilaze komwe😬
Unasema ukweli maana kuna mtu anajishaua sana nilimwangalia huku nikasema, aishi....Wapo wanawake wanaongea vingreza vingi jukwaa flani
Unataka ulilazeDahh naomba nilaze komwe😬
hahahahaha,sikupingi mkuu,ila huyo mama kama nafanana na hao watu mmmhMimi nshawah kukutana nae mmoja wala nisiwe muongo yeye hachangii anaobserve
Unamfaham Dr Besigye K? au Tyson Wassira
Huyo mama ni umo