win-one
JF-Expert Member
- May 28, 2024
- 10,467
- 35,434
kuna watu hawalali brooo hata hiyo mida kuna wengine watakuepo macho😅Huu uzi unaweza ukawa hata una member 200 active wakiview tu pic in silence 😅.
Sasa dawa ni kuamka saa 8 tu.
kuna watu hawalali brooo hata hiyo mida kuna wengine watakuepo macho😅Huu uzi unaweza ukawa hata una member 200 active wakiview tu pic in silence 😅.
Sasa dawa ni kuamka saa 8 tu.
Kuna pic imetumwa hapo juu nimeona likes kama 15 at once mpaka nmestuka 😅.kuna watu hawalali brooo hata hiyo mida kuna wengine watakuepo macho😅
ushangae na wew😅😅,, ndo maan watu wakiona mnatupa sifa za huongo wanakataa kwa herufi kubwa kwa maan na wao huwa wanachungulia kimy kimyaKuna pic imetumwa hapo juu nimeona likes kama 15 at once mpaka nmestuka 😅.
Inabidi ni-subscribe hii thread kila notification niipate 😅😅🙌🏾Unaona notification unajua picha unakimbia unajikwaa
unajikwaa unatoa meno😄Unaona notification unajua picha unakimbia unajikwaa
umekua sana dogo🔥
Unakuta kunradhi kuna changamotoInabidi ni-subscribe hii thread kila notification niipate 😅😅🙌🏾
Picha si ushaona buibuinyoka🤣Unaona notification unajua picha unakimbia unajikwaa
Leo bwashee sjamuona humu.ushangae na wew😅😅,, ndo maan zikianzishwa nyuzi za kutusema wadada wa selfika ni wabaya ujue tushanguliwa kimya kimya na live pia😄
Ila umetubania balaaaa weka ibia sura kidogo😍
Ipi sjaona mnaniyeyushaPicha si ushaona buibuinyoka🤣
Leo nimekubamba😁
Nimekusamehe usirudie tena.😃dogo🔥
Anaenda kuwaua 😂Leo bwashee sjamuona humu.
Ukiweka picha akiiotea 2 min later anafungua thread 😄😄.
Anahiyo kauli ake moja kwamba. Fala wewe kunywa bia 😅😅
Unalala mno🙄Ipi sjaona mnaniyeyusha
na ninyi mnasapoti wakati huku mnatupaka mafuta dadeq😄😄Anaenda kuwaua 😂
Wabovu wapo lakini ni kwelina ninyi mnasapoti wakati huku mnatupaka mafuta dadeq😄😄
Nipe vitu bwana.Ila umetubania balaaaa weka ibia sura kidogo😍