Selfika na JF: Snap it. Show it

Mimi huwa nazurura kona zote!!
Yaaani unapata kiungulia kikali kabisaa ukisoma!!
 
Pole,,ndiyo maana Beyonce aliimba "if I was a boy"
Sijui kwann tu mungu aliiumba hiyo jinsia

Sent using Jamii Forums mobile app
 
nyie mnachekesha kweli yaani eti mkanipa na cheo kabisa,, nimekumbuka cute b aliwahi kuniita msemaji mkuu wa wanawake..

Lol sasa hivi watu wengi wameshaujua umri wangu kwahiyo nikishusha tena yale magazeti najua watakuwa wanajibu tu "utoto ndiyo unakusumbua kuwa kwanza",, ilikuwa raha sana kipindi kile kila mtu anajua mie ni mama mtu mzima nina mume na watoto wanne eti ndiyo walikuwa wananisikiliza hoja zangu.. yaani JF bhana

Sasa mwakilishi wetu umechoka itakuwaje

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pole baby wangu wa zamani..

Nitag huo uzi basi..
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwani una umri gani.?
You're not alone
 

Kuna uzi ilianzishwaga wa jamaa anaetongoza wanaume wenzie pm, ndio tukagundua wanaoponda sana wanawake ni kina James, maana wanachafua image yetu ili watimize haja zao.

Kuna uzi nao mods walipita nao kuna mtu ulikuwa unaongelea mambo hayo hayo.

Hivyo Sakayo huyo uloona anaita wanae ndama na mkewe ng'ombe usiumize nao kichwa maana hata jamaa alofunguliwaga uzi ana mke na watoto lakini ni "chakula".
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…