Yangu iko wazi njooKamamaa, umefunga Piemu.
Yangu iko wazi njooKamamaa, umefunga Piemu.
Mkuu kuna watu wanaitwa wasiojulikana 😩😩Yangu iko wazi njoo
Selfika kdgnimegaili hebu tukakeshe Kule usiku wa manane kama hauna usingizi☺️
Tupia moja tufunge uziMmmh, hatari.
poleee hebu tubless na sisi turudie kabla hakuja pambazuka😆
Niiite uko nakuja chapnimegaili hebu tukakeshe Kule usiku wa manane kama hauna usingizi☺️
Dah hayeni bana.Tunapita kimya kimya bila kelele😆
Hao hawajulikani kabisaMkuu kuna watu wanaitwa wasiojulikana 😩😩
tayali nisha selfika etiSelfika kdg
Wewe unalipi baya ktk Nchi hii mpk wasiojulika wakutafute,una Uzi gani humu wa kibabe kiasi uwindwe ?Mkuu kuna watu wanaitwa wasiojulikana 😩😩
Unakiuka andiko la bwana, zaeni mkaongezeke… mkaijaze nchi.Na katoto kamoja ka kike, ambako ndio amani yangu ja furaha yangu na mboninya jicho langu na ndio mlinzi wangu na nina hisi ndio nimeishamaliza mchezo. Mpole sana na mda wote huwa ana wish niwe nae karibu . Hao watoto wa kiume tumewaachia nyie aisee 😅😅
lakin umechelewa mwenyew jamni😢Dah hayeni bana.
Niki pika vitu vyangu siwapi 😏 sichezi na nyie 😤
Ni kweli, nitakula nilikopeleka mboga 🥹lakin umechelewa mwenyew jamni😢
Hamna lolote basi tu naogopa watu.Wewe unalipi baya ktk Nchi hii mpk wasiojulika wakutafute,una Uzi gani humu wa kibabe kiasi uwindwe ?
au mtembezi hula miguu yake😆Ni kweli, nitakula nilikopeleka mboga 🥹
Ht we nikitaka kukutumia inagomaKamamaa, umefunga Piemu.
Mi nimefungaga na sijuagi namna ya kufungua. 🥹Ht we nikitaka kukutumia inagoma
Duh pole aiseeMi nimefungaga na sijuagi namna ya kufungua. 🥹
Usijipe hofu isiyo ya msingi Mkuu enjoy your life,ukiona unatafutwa na unahitajika ujue una jambo wewe au watu wako wa KaribuHamna lolote basi tu naogopa watu.