Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Udogoni unasikia firigisi ni za mzee baba, kuzikula hadi uvizie uibe then uache home kila mtu kwenye sintofahamu nani kala firigisi za mzee.. unaweka home kwenye kuanza fanya investigation.
Unaonekana ulikuwa mtundu sana, watoto wako wa kiume wataridhi utalia kama ambulance.
Tunamalizia weekend wengine hatuwezi kunywa nje ya nyumbani aisee..
Lucky is your wife! 🥰

Nilikuwa busy jamani ndio naweka ubavu kwa ngozi saa hii!
 
Unaonekana ulikuwa mtundu sana, watoto wako wa kiume wataridhi utalia kama ambulance.

Lucky is your wife! 🥰

Nilikuwa busy jamani ndio naweka ubavu kwa ngozi saa hii!
Na katoto kamoja ka kike, ambako ndio amani yangu ja furaha yangu na mboninya jicho langu na ndio mlinzi wangu na nina hisi ndio nimeishamaliza mchezo. Mpole sana na mda wote huwa ana wish niwe nae karibu . Hao watoto wa kiume tumewaachia nyie aisee 😅😅
 
Back
Top Bottom