😂😂😂😂😂😂Mi mwenyewe ananisumbua kweli kuniwekea pic, kuna siku aliniwekea picha ina ukungu makusudi ili nisione kitu..!! 😹😹
Chino kaumbwa kwa ajili yako tu.Rudisha ya wog bhana 😹
Chino utamuweza wewe mishangingi yake ikishamuachia tu anakuja kunifanyia vurugu huku..!
Chino anasema mwaka wa 6 huu anakufuluzia tuNkamu 😹
Kweli ifike muda akueleweChino kaumbwa kwa ajili yako tu.
Mtumie unavotaka.
Ndaga fijo.Kweli ifike muda akuelewe
Maana ni muda mrefu sana umepita toka umeanza kumwambia haya maneno.
Siyo mageni kabisa, labda Kwa wageni wa Jiji.
Asalaleeee vitu vya nguvu hivi, sijawahi kuonja hata.binti kiziwi weekend kama hivi.. View attachment 3664620
Udogoni unasikia firigisi ni za mzee baba, kuzikula hadi uvizie uibe then uache home kila mtu kwenye sintofahamu nani kala firigisi za mzee.. unaweka home kwenye kuanza fanya investigation. Tunamalizia weekend wengine hatuwezi kunywa nje ya nyumbani aisee..Asalaleeee vitu vya nguvu hivi, sijawahi kuonja hata.
🤣🤣🤣Rudisha ya wog bhana 😹
Chino utamuweza wewe mishangingi yake ikishamuachia tu anakuja kunifanyia vurugu huku..!
Njoo pm mremboAsalaleeee vitu vya nguvu hivi, sijawahi kuonja hata.
🤣🤣🤣mie nimetoa baraka zote kwa katibu wanguNdaga fijo.
Lamomy nkamu kaachia baraka zote. katibu nawe Christine_1 si kipingamizi huna.
Ndoa ya kwanza ya selfika Iko njiani
nani yupo macho tuselfike saii wengine wakiwa wamelala
Hii haijanipita😍😍😍😍wapo busy hebu nijianike kidogo
kheeee kwahiyo ulikua unachungulia😆😆 sijapendaa,,, hebu pita na wew nikubahatishe basi🥰Hii haijanipita😍😍😍😍
Ngoja nipite kabla hawajamkakheeee kwahiyo ulikua unachungulia😆😆 sijapendaa,,, hebu pita na wew nikubahatishe basi🥰