Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Hujaamua tu we mbaba😁
Ukimuamlia mmoja hapa siku aishi unajipigia mapema sana🤣
mmmh ,unasema tu, wengi humu mna complicate mambo , ukienda direct anakuambia mie sio wa hivyo ,ukienda slow unaambiwa mbn hueleweki ,yaani tabu bin shida, ukinyoosha maelezo unaambiwa mie sio malaya,hahahahaaha
 
hahahahahaha, aisee ni serious au ndio chitchat ?
pole sana, funga WIFI usiteseke na bando za buku buku
Router ni best option kuliko hizi bando za kila siku
Mwisho wa siku gharama za bando kwa mwezi zinakuwa kubwa kuzidi aliyefunga router.
hahahahahaha, aisee ni serious au ndio chitchat ?
Mimi na nipige tafu damudamu.
Nawalipaga
Halafu naanza upya kuwakopa.

Kesho niwalipe.
 
Router ni best option kuliko hizi bando za kila siku
Mwisho wa siku gharama za bando kwa mwezi zinakuwa kubwa kuzidi aliyefunga router.

Mimi na nipige tafu damudamu.
Nawalipaga
Halafu naanza upya kuwakopa.

Kesho niwalipe.
du ,nunua router tu , hiyo mikopo kila siku ,Mkuu ,router hata 50k haifiki , sasa bando kwa siku ili u enjoy utanunua ya bei gani?
 
mmmh ,unasema tu, wengi humu mna complicate mambo , ukienda direct anakuambia mie sio wa hivyo ,ukienda slow unaambiwa mbn hueleweki ,yaani tabu bin shida, ukinyoosha maelezo unaambiwa mie sio malaya,hahahahaaha
Kwani malaya huwa anasema yeye ni malaya? Weka dau mezani watu wafanye kazi! Kavipi zama pm ujichagulie unaweza jipigia ngapi ngapi ukiwa serious mbona! Wenzako wanakula Kimya kimya wewe unataka kufuata protocol, hauko serious aisee!
 
Kwani malaya huwa anasema yeye ni malaya? Weka dau mezani watu wafanye kazi! Kavipi zama pm ujichagulie unaweza jipigia ngapi ngapi ukiwa serious mbona! Wenzako wanakula Kimya kimya wewe unataka kufuata protocol, hauko serious aisee!
hahahahaha ,unaenda PM unatoswa hlafu unakutana na vijembe

kwenye bold nitazingatia
ngoja nione hii 150k kama inaeza beba mtu humu
 
Back
Top Bottom