Missy Gf
JF-Expert Member
- Oct 30, 2022
- 5,786
- 16,368
Msichana mzuriNina 5 days tu
Nipige Tafu wananidai 25k
Your missed
Are you okay?
Msichana mzuriNina 5 days tu
Nipige Tafu wananidai 25k
Wewe kijana umeona nini selfika😂Ushaambiwa sura hata mbuzi anayo.
Ningekua karibu yako ningekupa kelb mmoja ili uzinduke.
Sema selfika mashallah. Hongera zao vitu vipo bana vimetofautiana size tu
Kumbe tupo wengiNina 5 days tu
Nipige Tafu wananidai 25k
mnaodaiwa na voda?Kumbe tupo wengi
anadaiwa 25kMsichana mzuri
Your missed
Are you okay?
🤣🤣🤣unaona nipige tafu na songesha zinavyotuokoaoooh kwahiyo 5k yangu imepona? acha ninywe bia , kusubiri pilau la kipaimara
Mi voda na tigo both wananidai🤣🤣🤣anadaiwa 25k
Ndiomnaodaiwa na voda?
duh kwahiyo unadaiwa songesha, na bustisha? angalia wasikupeleke CBMi voda na tigo both wananidai🤣🤣🤣
oooh, ni sawa tu muhimu mnawalipaNdio
Kawaida tu
Utanielewa Saint Anne akitublessWewe kijana umeona nini selfika😂
unawaokoa lkn si utailipa baadae? safi sana mie natumiaga airtel🤣🤣🤣unaona nipige tafu na songesha zinavyotuokoa
Yeahoooh, ni sawa tu muhimu mnawalipa
oooh sawa ,ndio maana naona wadada wengi wako voda eehYeah
Siku nikipata nitawalipa km sijafuta usajili nikasajili nyingine 🤣
Yea siku nikipata nawalipaunawaokoa lkn si utailipa baadae? safi sana mie natumiaga airtel
Ht tigooooh sawa ,ndio maana naona wadada wengi wako voda eeh
mmmh ina maana unapitia yote hayo? aisee fanya nipate namba yako walau siku moja moja niwe nakurushia hata kdgYea siku nikipata nawalipa
Ila haya maisha kuna kipindi nilikuwa nasajili kila baada ya siku 2, si bure tu
Unapata 1 gb🤣
Kila mtandao ...badae nikawa naenda nafuta usajili🙌
kumbe eeeh, mna mbinu wadadaHt tigo
Nimemaliza hapa kukopa mgodi😊🤣🤣🤣unaona nipige tafu na songesha zinavyotuokoa
Nafuta usajili tu wa line nadirisha watanipata wapiduh kwahiyo unadaiwa songesha, na bustisha? angalia wasikupeleke CB