Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 46,153
- 97,853
umenipa mbinu ,hii 150k leo inaliwa na mtu wa JFUnapiga chini unatafuta mwingine! Mbona wenzio wanakaza we vipi?
Asubuhi sana hiyo😂
umenipa mbinu ,hii 150k leo inaliwa na mtu wa JFUnapiga chini unatafuta mwingine! Mbona wenzio wanakaza we vipi?
Asubuhi sana hiyo😂
Uzuri chino hana mambo mengi ye anazingatiaga tu lile!Nijaribuni mimi, mbona ntawabless kila mmoja bila shida tatizo mnapenda mambo makubwa, sisi ndio tuko😁
Niamini mimiumenipa mbinu ,hii 150k leo inaliwa na mtu wa JF
Nishazoea.pole sana
Lile ndio nini? Fungukaa😅Uzuri chino hana mambo mengi ye anazingatiaga tu lile!
Ningekupiga tafu leo nina project maalum humu,hahahahaNishazoea.
Serikali yenyewe inadaiwa.
Mimi nani nisidaiwe mademi madogo madogo kama nipige tafu.
NIko poa;Asante Chino
Uko poa?
HapanaNingekupiga tafu leo nina project maalum humu,hahahaha
Inakuumia ukiwa wapi Chino?NIko poa;
Njaa ndo Kali tu.
Lipo? Kikubwa liwepo haha.Lile ndio nini? Fungukaa😅
sijaelewaHapana
Nipige tafu wanatosha sana.
Itobo_bukene!Inakuumia ukiwa wapi Chino?
Kwahiyo sisi tusio nalo mnatutenga aisee nmechoka kubaguliwa mtaani na humu tena!🤦🏽♀️Lipo? Kikubwa liwepo haha.
hahhahahahahaKwahiyo sisi tusio nalo mnatutenga aisee nmechoka kubaguliwa mtaani na humu tena!🤦🏽♀️
Umesema ungenipiga tafusijaelewa
MmhItobo_bukene!
Natamani ningekua jirani unigawie hata cake
Rusha picha mkuu St. AnneMmh
Ndio wapi huko?
Hebu Selfika kwanza tuone kama kweli una njaa
Ushaambiwa sura hata mbuzi anayo.Kwahiyo sisi tusio nalo mnatutenga aisee nmechoka kubaguliwa mtaani na humu tena!🤦🏽♀️
oooh kwahiyo 5k yangu imepona? acha ninywe bia , kusubiri pilau la kipaimaraUmesema ungenipiga tafu
Nimesema hapana
Voda nipige tafu inatosha
Wananikopesha muda wowote nikitaka
Bukene_nzega_TaboraMmh
Ndio wapi huko?
Hebu Selfika kwanza tuone kama kweli una njaa