binti kiziwi
JF-Expert Member
- Aug 4, 2014
- 15,794
- 43,431
Hivi kumbe ni wewe!!Nipo hapa, sasa hivi wana technique na vifaa vya kufa mtu, ila hawana akili, skill wala technique ya kuvitumia ili viwe na majibu, sio kule wala pale hawana expert alie ivaa kwenye OSNIT wote tia maji tia maji, ila wangekuwa na expert kwenye hiyo angle mbona humu ni kuokotwa kama kuku wenye videli.. ivi nilikutumia hadi ka sample PM 😂😂 sasa ipo kubwa zaidi..
Nalog off
Nimekutafuta sana, ile ID umeiua!!!