Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Nipo hapa, sasa hivi wana technique na vifaa vya kufa mtu, ila hawana akili, skill wala technique ya kuvitumia ili viwe na majibu, sio kule wala pale hawana expert alie ivaa kwenye OSNIT wote tia maji tia maji, ila wangekuwa na expert kwenye hiyo angle mbona humu ni kuokotwa kama kuku wenye videli.. ivi nilikutumia hadi ka sample PM 😂😂 sasa ipo kubwa zaidi..

Nalog off
Hivi kumbe ni wewe!!

Nimekutafuta sana, ile ID umeiua!!!
 
Mnameza vitunguu saumu bila kula, fanya jaribio dogo tu then utatuletea mrejesho, ponda kitunguu saumu weka juu ya ngozi baada ya dakika 15 utatuletea majibu sote.
Usiumize utumbo wako bure
Alikosea kumeza on empty stomach
Ila unameza.....
Unaweza tumia after meal
 
Back
Top Bottom