Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Christine_1 Seran jana nilianza zoezi sema vinaleta njaa balaa sijui ndo katika kutibu loh!!

Jana Asubuhi saa 1 nilikunywa kikombe cha majimoto niliweka asali si nikaunga nakumeza vitunguu saumu weeehhh saa mbili tu nilisikia njaaa kama sijala mwaka mzima . Ilikuwa njaaaa kali sana plus kichwa kiliumaaa hadi kizunguzungu.. Pembeni kulikua na kaduka nikanunua andazi nakuanza kula huku natembea barabarani 👐👐👐
Mnameza vitunguu saumu bila kula, fanya jaribio dogo tu then utatuletea mrejesho, ponda kitunguu saumu weka juu ya ngozi baada ya dakika 15 utatuletea majibu sote.
Usiumize utumbo wako bure
 
IMG_0078.jpeg


Nipeni location nije tu 🍻
 
Back
Top Bottom