Iceberg9
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 27,721
- 53,735
❤️❤️ wataona wivu mapapaNishafanya yangu😎
❤️❤️ wataona wivu mapapaNishafanya yangu😎
Sirudii tena Nusura nife!!Mnameza vitunguu saumu bila kula, fanya jaribio dogo tu then utatuletea mrejesho, ponda kitunguu saumu weka juu ya ngozi baada ya dakika 15 utatuletea majibu sote.
Usiumize utumbo wako bure
Dah jamani 😭Ulichelewa mahi
Watu jana tulipita bila emoji 🤪 😎 🤣
Dah jamani 😭
Mimi kuna uzi ulinifufua nikaja kupita hapa shwaaa sema mida ilikuwa mibovu wengi mmelala.
😅😩😊😊😊Mi niliona. 😊
😅😩😊😊😊
Zamani tulikuwa tuna selfika kwa amani kabisa siku hizi mhh!Basi nimefuta! Kuwa na amani. 😊
Mwisha wewe 🤣🤣Zamani tulikuwa tuna selfika kwa amani kabisa siku hizi mhh!
Huchelewi mtu kubebwa kama yule Rose pale mlimani 🤣
Hawa wajinga kuna muda hawatumwi na mtu yeyote wanajituma wenyewe tu ili wale posho.
Hana shida mtu wa Mungu ChivunduMwisha wewe 🤣🤣
Zamani tulikuwa tuna selfika kwa amani kabisa siku hizi mhh!
Huchelewi mtu kubebwa kama yule Rose pale mlimani 🤣
Hawa wajinga kuna muda hawatumwi na mtu yeyote wanajituma wenyewe tu ili wale posho.
Unawajua wakongomani wewe kipenzi😢😢🤣🤣Hana shida mtu wa Mungu Chivundu
Kuna siku mwaka jana nadhani, kuna mtu alikuja kwenye huu uzi aka comment kwa sasa tunaweza kutoa hivyo vivuli, nilishtuka 🤣Ni ngumu, picha uliweka kivuli, huwezi tambulika namna ile.
Nani mkongomani? 😀Unawajua wakongomani wewe kipenzi😢😢🤣🤣
😄😄😄😄Kuna siku mwaka jana nadhani, kuna mtu alikuja kwenye huu uzi aka comment kwa sasa tunaweza kutoa hivyo vivuli, nilishtuka 🤣
Unajua kuna akina mahonda, christine, seran na wengine hawana shida maana wala hawahangaiki na majukwaa ya siasa, kasheshe ipo kwetu sisi visebengo 😀
Hana shida mtu wa Mungu Chivundu