Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

You are blessed mamaake😍
Kweli wewe huhitaji mambo mengi, you r beauty is natural💋👌🏽
Sshv nimeshameza punje zangu 3 za vitunguu swaumu...unajua ipo suppliment yake pia??

Halafu juice ya vitinguu maji , done baada ya kula...

Na chai ya karafuu na mdalasini natumia kwa interval ...

Asubuhi asali vijiko 2, nakaq 1 hr km sio juice ya bamia , basi nakua na kitu kingine ....

Mchana km ugali na mboga za majani tu ....soda , juice za dukani inaweza pita miezi nishasahau...
Km kuna ulazima wa chai basi na asali ...
Oregano juice muda wowote tu maana mi machuma tu majani yake hapa home .....

Ss Google vyote hivi uone faida yale mwilini ma vyote vina suppliment ....ila mi nimeamua kutumia natural
 
Sshv nimeshameza punje zangu 3 za vitunguu swaumu...unajua ipo suppliment yake pia??

Halafu juice ya vitinguu maji , done baada ya kula...

Na chai ya karafuu na mdalasini natumia kwa interval ...

Asubuhi asali vijiko 2, nakaq 1 hr km sio juice ya bamia , basi nakua na kitu kingine ....

Mchana km ugali na mboga za majani tu ....soda , juice za dukani inaweza pita miezi nishasahau...
Km kuna ulazima wa chai basi na asali ...
Oregano juice muda wowote tu maana mi machuma tu majani yake hapa home .....

Ss Google vyote hivi uone faida yale mwilini ma vyote vina suppliment ....ila mi nimeamua kutumia natural
Hii naisave kwenye notes zangu mama barikiwa! Of all ninakunywa tu chai ya karafuu ya unga au maji ya karafuu xa mbegu.
 
Back
Top Bottom