Jadda
JF-Expert Member
- May 20, 2019
- 31,540
- 88,486

wa kufuta picha within a blink of an eye
Kiongozi wa nini tena dear![]()
Sent using Jamii Forums mobile app

wa kufuta picha within a blink of an eye
Kiongozi wa nini tena dear![]()
Tumuundie tume basi
Akii umenonaa saanaa!!! Mpaka kakitambi ka kufutia simu kapooSadaka za waumini zinaninenepesha
Wewe njoo hapaHaiwezekani kuweka
Aisee yaishe 😄😄Simu kubwa nimeacha home hapa nipo ofisini na kitochi!!
Dear kwa hili unanionea kiongozi ni Atoto😄
Nilisikia tu save your sorry aluuuuu
Yaani meliona nikacheka sana, kumbe huwa unayaegesha eeehhh!! Save yo pole baba paroko!

nikatoka mbio.nikajua nimeharibu mood ya mtu, 
ua the best friend to keep a good heart girl
unaanzaje kuwa mkorofiHebu kuwa na heshima unapojibizana nami wewe ndio lugha gani watoto wa 2000 mna tabu sanaWewe njoo hapa
Umeomba picha kama unaomba kazi ya uhasibu wizara ya madiniAisee yaishe![]()
Tatizo ananidanganya mpaka namuonea huruma😄😄Umeomba picha kama unaomba kazi ya uhasibu wizara ya madini
Eti kakitambi ka kufutia Simu umenichekesha asubuhi hii mpendwa 😄😄😄Akii umenonaa saanaa!!! Mpaka kakitambi ka kufutia simu kapoo



huwa anaweka ila sasaaaaa kuziona inahitaji mtu uwe JF tena kwenye huu uzi masaa 24 usifanye shughuli nyingine maana haujui siku wala saa ambayo ataweka picha,, na akiweka ndiyo haikai hata sekunde mbili kwahiyo hata akikutag kwenye hiyo picha hadi uje uone notification uifungue bado utaikosa tu.. 


Poa utume basi mpendwa.Aisee yaishe 😄😄