Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

huwa anaweka ila sasaaaaa kuziona inahitaji mtu uwe JF tena kwenye huu uzi masaa 24 usifanye shughuli nyingine maana haujui siku wala saa ambayo ataweka picha,, na akiweka ndiyo haikai hata sekunde mbili kwahiyo hata akikutag kwenye hiyo picha hadi uje uone notification uifungue bado utaikosa tu..

Sent using Jamii Forums mobile app
Itabidi tuombe mods watoe option ya delete
 
Weee tena huyo ndiyo usimtaje kabisa,, kwanza ukimuomba wala haringi ataweka na akiweka akikutag hafuti hadi wewe aliyekutag uione labda kama amekutag na ukakaa siku mbili haujatokea.. ila wewe sasaaa mmhh hadi unatufanya tuanze kudhani labda mwenzetu unafanana na Cleopatra (natania)
Dear kwa hili unanionea kiongozi ni Atoto

Sent using Jamii Forums mobile app
 
huu uzi nyt nyt unapendeza ila sasa kabla hujakaa sawa vitu vinaevaporate kwa kasi ya hamna
watu wako na speed hiyo hahah yaan fyuuum fyuuum


Depal mdogo wangu nakusalimia, haujambo?
Hahaha nimecheka....Sasa Emay picha si uliona? Ulitaka ikae mpaka saa ngapi na vile haikuwa hata na Emoj


Nakusalimia pia kaka angu, me sijambo kabisa
 
Weee tena huyo ndiyo usimtaje kabisa,, kwanza ukimuomba wala haringi ataweka na akiweka akikutag hafuti hadi wewe aliyekutag uione labda kama amekutag na ukakaa siku mbili haujatokea.. ila wewe sasaaa mmhh hadi unatufanya tuanze kudhani labda mwenzetu unafanana na Cleopatra (natania)

Sent using Jamii Forums mobile app
Utetesi uzi si bure kuna picha niliweka sikuwahi kufuta ipo hadi leo pia ya jana sikufuta ipo mpendwa
 
Back
Top Bottom