Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Hivi milima ya Uluguru kuna nini mkuu?? Huwa napenda kufanya hiking kwenye milima ambayo ina vivutio mfano Udzungwa nilienda kuangalia maporomoko ya maji kule juu kabisa na Kilimanjaro inshaallah siku moja nitapanda kuenda kuona barafu kule juu kabisa japo najua watu hawafikagi kule wanaishia Kibo na Mawenzi tu

Mbeya nina mpango wa kupanda milima ya Loleza na Usangu karibu
Karibu kuna outdoor places km Oasis , au mto wamawe pia ukafanya hiking kwny milima ya uluguru .

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mm pia sijui km kuna vivutio huko juub
Hivi milima ya Uluguru kuna nini mkuu?? Huwa napenda kufanya hiking kwenye milima ambayo ina vivutio mfano Udzungwa nilienda kuangalia maporomoko ya maji kule juu kabisa na Kilimanjaro inshaallah siku moja nitapanda kuenda kuona barafu kule juu kabisa japo najua watu hawafikagi kule wanaishia Kibo na Mawenzi tu

Mbeya nina mpango wa kupanda milima ya Loleza na Usangu karibu

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Haha hivi kumbe weye waishi Moro?? Mie kuhamia huko itategemea mkuu labda nipate shughuli permanent ya kufanya huko!!
Sijawahi panda treni TZ...treni pekee nitakuja panda ni SGR ikianza...sababu ni fast train...

Hamia Moro basi niwe naja kula bata wikiendi hadi mkwe Jael aone wivu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom