ShesRise_1
JF-Expert Member
- Aug 21, 2025
- 16,882
- 39,966
Umeona maneno hayo 😅 ili niselfike pua weka 100k( jokesHaina shida ShesRise_1 ungependelea shs ngap kuiona imethibitishwa katika simu yako.
Umeona maneno hayo 😅 ili niselfike pua weka 100k( jokesHaina shida ShesRise_1 ungependelea shs ngap kuiona imethibitishwa katika simu yako.
We nibless hiyo 100k ni normal figures kabisaa.Umeona maneno hayo 😅 ili niselfike pua weka 100k( jokes
Sawaa nitakuita badaeAah mkuu me napita sana tuu😃
Ukiwepo nishtue nipite...
Japo wewe ukipita nakuta manyoya kila siku😃
Ule uzi wetu wa misosi upo ama ushakufa?
Ule uzi wetu wa misosi upo ama ushakufa?
Acha madhereu 10% ni kubwa sana..😂🤣Hiyo asilimia 10 endelea kuizungusha kwenye biashara 😅
Kwani nimeidhara wap😅Acha madhereu 10% ni kubwa sana..😂🤣
Enjoy mkuu🔥
Tuna kikao leo Senegal anacheza 😃kuna muda utanikosa ukiniitaSawaa nitakuita badae
😅😅We nibless hiyo 100k ni normal figures kabisaa.
Sawa mkuu, ule uzi huwa unatia appetite ya kula. 🤣Bado upo na siha tele
Taja mahari ww, tutoe 10%Kwani nimeidhara wap😅
Sawa mkuu, ule uzi huwa unatia appetite ya kula. 🤣
Umetisha sheikh, ngoja nikapate hamu ya kula.Tupiamo chako, iwe ulialikwa kwenye sherehe, umepiga nacho selfie (hata kama hujala) umedoea! Umenunua, hata kama ni cha mchepuko ama nyumba ndogo cha hotelini msibani... Popote pale wee tupia tuu kiwe kibaya au kizuri leta tu hapa, tuwatamanishe watoke miudenda wale kulakula[emoji23] [emoji23] [emoji23]![]()
![]()
Sent using Jamii Forums mobile app
- Mshana Jr
![]()
- mapishi vyakula
- Replies: 38,121
- Forum: Jukwaa la Mapishi
Mambo ndoa sitakiiiiTaja mahari ww, tutoe 10%
Baharia1 kashatoa episode nyingine hatimaye mishangazi nayo imeonja joto la jiweMambo ndoa sitakiiii
Ukiwa tayari na sisi tuko tayari...Mambo ndoa sitakiiii
NomaBaharia1 kashatoa episode nyingine hatimaye mishangazi nayo imeonja joto la jiwe