min -me
JF-Expert Member
- Jul 20, 2022
- 57,585
- 164,825
Mamnyang'ode nipite mara ya ngapi ?We pita tu ba mnyang’ode Watajua wenyewe!
Mamnyang'ode nipite mara ya ngapi ?We pita tu ba mnyang’ode Watajua wenyewe!
Mwanaume mfupi kama kikombe cha kahawa aiseee😹😹😹 Macho juu yule atafanya niwe napigana na watu..!!
Niliwahi kuvunja vioo vya gari vya shem wako nikaona haitoshi nikachoma nguo zake kisha nikamuita aje azifate kwangu sizitaki.. alipokuja anaulizia nikamuonyesha majivu..!!
Kwanza mwanaume mwenyewe mfupi km kikombe cha kahawa ndo anisumbue mfyuuu..!! 😹😹😹
Mimi sijakuona ndio naona quote yako saa hiiMamnyang'ode nipite mara ya ngapi ?
Ebu wasinichoshe mie wanadhani kila mtu kazaliwa na kukulia hapa mfyuuu 🤣🤣🤣Ngoja ticha wa kiswahili afike akwambie sio mpila ni mpira 😹😹
Huogopi? 😹Nione 😛
Never 😜Huogopi? 😹
Sio kwelMimi sijakuona ndio naona quote yako saa hii
😹😹😹 Labda nikuweke kwa bro angu mkinga mmoja hivi anafanana na Quick RockaKweli yaliyomo yamoo udugu
Sema nini ukipata mjuba nipee mmoja huku sielewi ujue 😁😁
Mfyuuuu 😹😹😹Mwanaume mfupi kama kikombe cha kahawa aiseee
Vipi kiunoni ni mfupi pia 😁😁😁
Fanya kweli dear 💋🥹🥹🥰🤪😹😹😹 Labda nikuweke kwa bro angu mkinga mmoja hivi anafanana na Quick Rocka
Kosa langu liko wapi si mmeachana jamani😅😅Mfyuuuu 😹😹😹
Niliona ulisema kwenye uzi wako mmoja maza yuko Malawi. Ulibwanji 😹Ebu wasinichoshe mie wanadhani kila mtu kazaliwa na kukulia hapa mfyuuu 🤣🤣🤣
😹😹😹Never 😜
😹😹😹 Uwe wifi yanguFanya kweli dear 💋🥹🥹🥰🤪
😹😹😹 Kwahiyo unataka kujua?Kosa langu liko wapi si mmeachana jamani😅😅
Hahahaha ukahisi ni kuoneshana mbunye sio? Huwa hatudisplay kwa mtu ambaye hadisplay! Haya weka vitu hapo mkuu!Huu uzi sikuwahi kuupa umuhimu wowote,hivyo nilikuwa napishana nao kama ambavyo huwa napishana na uzi wa watu wa kubet
Kuna siku moja nikasema ebu niingie humu japo kwa bahati mbaya,nakuta watu wanalalamika hawajaona hawajaona,kumbe huwa mna display mambo flani flani
Ombi maalumu kwa Seran , win-one na ShesRise_1
Mkidisplay hayo mambo ebu mnitag hata kwa bahati mbaya tu!!! Am just curious that's all homies
Ndili bwino kwambiri udugu wanguNiliona ulisema kwenye uzi wako mmoja maza yuko Malawi. Ulibwanji 😹
Kaa chonjo kijana kuna mafoto humu ya kumwagaHuu uzi sikuwahi kuupa umuhimu wowote,hivyo nilikuwa napishana nao kama ambavyo huwa napishana na uzi wa watu wa kubet
Kuna siku moja nikasema ebu niingie humu japo kwa bahati mbaya,nakuta watu wanalalamika hawajaona hawajaona,kumbe huwa mna display mambo flani flani
Ombi maalumu kwa Seran , win-one na ShesRise_1
Mkidisplay hayo mambo ebu mnitag hata kwa bahati mbaya tu!!! Am just curious that's all homies
Nataniaa😹😹😹 Kwahiyo unataka kujua?