Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Weka hajavaa tumbo bandia ni kweli alikuwa mjamzito na kashajifungua kidume..!!

Wanaume wa dar sasa watapumzishwa 😹
Hongera kwa kweli MUNGU amempa kicheko 😍😊

Ila waja wana mambo kila mtu na story yake basi tafrani 😅😅😅

Jamani 😂😂😂😂, kuna meme nimeona inawachamba wanaume wa Dar
 
Hongera kwa kweli MUNGU amempa kicheko 😍😊

Ila waja wana mambo kila mtu na story yake basi tafrani 😅😅😅

Jamani 😂😂😂😂, kuna meme nimeona inawachamba wanaume wa Dar
Waja hawaamini kama wema kazaa kwani sio mwanamke? Wivu tu unawasumbua.

Wema hakupata mwanaume sahihi wa kumzalia. Ila kizazi anacho na alishawahi kutoa mimba ya Kanumba na Idrisa. Ss hivi angekuwa na mtoto yupo Advance au chuo sema hakuwa tayari kuitwa mama kwa muda ule.

Wanaume wa dar ndio wanaume bora Tanzania kwa kupiga mimba wanawake eti makaveli10 nasema uongo? 😹😹😹

Walimsema mke wa pdidy (Mond) lakini kaunganisha East Africa ana watoto kote.
 
Waja hawaamini kama wema kazaa kwani sio mwanamke? Wivu tu unawasumbua.

Wema hakupata mwanaume sahihi wa kumzalia. Ila kizazi anacho na alishawahi kutoa mimba ya Kanumba na Idrisa. Ss hivi angekuwa na mtoto yupo Advance au chuo sema hakuwa tayari kuitwa mama kwa muda ule.

Wanaume wa dar ndio wanaume bora Tanzania kwa kupiga mimba wanawake eti makaveli10 nasema uongo? 😹😹😹

Walimsema mke wa pdidy (Mond) lakini kaunganisha East Africa ana watoto kote.
😅😅😅😅🙌ila Lamo, nimekunyooshea mikono binti una maneno sana😂😂

Asante kwa ufafanuzi 😊, maneno kidogo picha kwa Wingi 🚶‍♀️
 
Waja hawaamini kama wema kazaa kwani sio mwanamke? Wivu tu unawasumbua.

Wema hakupata mwanaume sahihi wa kumzalia. Ila kizazi anacho na alishawahi kutoa mimba ya Kanumba na Idrisa. Ss hivi angekuwa na mtoto yupo Advance au chuo sema hakuwa tayari kuitwa mama kwa muda ule.

Wanaume wa dar ndio wanaume bora Tanzania kwa kupiga mimba wanawake eti makaveli10 nasema uongo? 😹😹😹

Walimsema mke wa pdidy (Mond) lakini kaunganisha East Africa ana watoto kote.
Niliwahi sema, huyo wema hajapata wa kumkojolea vizuri, mtu wa kukojoa, mzigo unatoka kama mate ya cobra..
Wanaobisha, waje tuwape mimba wao😂🤣
 
👀
 

Attachments

  • e8f6659730dd5c56aa949041dc25eac0.jpg
    e8f6659730dd5c56aa949041dc25eac0.jpg
    15.4 KB · Views: 10
Niliwahi sema, huyo wema hajapata wa kumkojolea vizuri, mtu wa kukojoa, mzigo unatoka kama mate ya cobra..
Wanaobisha, waje tuwape mimba wao😂🤣
😹😹😹 Waje wapigwe vibend wanaume wa dar igweeeeeeeeeeeeee

Wanawake wa mkoani wakija dar wanagoma kuwarudia mabwana zao wa mikoani wanakomalia dar..!! Hivi kaka zetu mnawafanyaga nini? 😹

Halafu nyie ndo mmewafundisha kuwazamia uvinza wa shenzy sana..!! 😹😹😹
 
Back
Top Bottom