Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 45,236
- 95,463
Rudianimepita kama hivi
Rudianimepita kama hivi
Nipo baby rasi😊Msiseme sijawaita 🚶♀️
Fanya kile uliniahidi😊Nipo baby rasi😊
Una endeleaje chica, upo vizuriFanya kile uliniahidi😊
Leo sipo poa kiafya rasii, kikohozi mafua na baridi kali mno ,hivyo ahadi yangu bado inasimamaFanya kile uliniahidi😊
Naendelea vizuri, now nipo sawa kabisaUna endeleaje chica, upo vizuri
Polee sana Ras, Mungu akufanyie wepesiLeo sipo poa kiafya rasii, kikohozi mafua na baridi kali mno ,hivyo ahadi yangu bado inasimama
AminaPolee sana Ras, Mungu akufanyie wepesi
Jana nilifunga na kusali usiku mzima upone,Naendelea vizuri, now nipo sawa kabisa
Yanaishaje kirahisi hivyo nipo nawe mpaka useme 😄😅Dah! Asanane tena jamani si yalisha isha hayo tugange yajayo 😁
Unaongea na bingwa ujueYanaishaje kirahisi hivyo nipo nawe mpaka useme 😄😅
Halafu dosho na wewe huwa mnafanana tabia zenu jukwaaniYanaishaje kirahisi hivyo nipo nawe mpaka useme 😄😅
Onhoo jamani asante sana 🙏😊,Jana nilifunga na kusali usiku mzima upone,
hivyo ukipona kabisa acha maagizo kwa mangi nichukue kinywaji nnachotaka bili juu yako
😅😅 usiniambie bingwa wa Bahati nasibu hebu kaa kwa kutulia asenaneUnaongea na bingwa ujue
Sasa si nimekesha nakuombea 😁Onhoo jamani asante sana 🙏😊,
Ila asenane una mambo bill juu yangu tena? 😄😄
😅😅😅we Ras una yako na yule Mangi mwenzako ulisema hivi hivi? Unafanyaga utafiti wapi?Halafu dosho na wewe huwa mnafanana tabia zenu jukwaani