Lamomy
JF-Expert Member
- Sep 4, 2023
- 39,393
- 94,715
Kwa shem 😹Duh🙌🙌🙌
Naitolea wapi mie...
🤣🤣
Kwa shem 😹Duh🙌🙌🙌
Naitolea wapi mie...
🤣🤣
Umechelewa tena alikua naked😅Iko wapi?
Weeh kumbe? 🙆♀️Umechelewa tena alikua naked😅
Video
Hunichoki shoga 😅Weeh kumbe? 🙆♀️
Tupia basi na wewe tupo peke yetu muda huu..!
Ndonga imegangamala, inahitaji tiba.Tiba ya mshipa?
Unalala mnoo mshikaji wanguIko wapi?
😹😹 Macho yanachoka vipi kutazama vitu vizuri..!Hunichoki shoga 😅
Mambo mengi huku wateja wa vijora wananisumbua kuulizia bei kununua miyoo 😹Unalala mnoo mshikaji wangu
Mtu akiulizia, mvalishe kabisa.Mambo mengi huku wateja wa vijora wananisumbua kuulizia bei kununua miyoo 😹
Na ndo tunakoelekea 😹😹Mtu akiulizia, mvalishe kabisa.
Unamvesha, kisha unampiga search, ukikuta hela, unachukua kiasi chako, unampa chenji yake, kisha unamuuliza unatoa tip? Kama hatoi mpe haki yake, ataamua dera avue hapo ama akalivue nyumbani, ndio lishakuwa lakeNa ndo tunakoelekea 😹😹
Acha unisahau kidogo😹😹 Macho yanachoka vipi kutazama vitu vizuri..!
😹😹😹😹 Maka unafaa sana kwenye ushauri, Ngoja niufanyie kazi ila ukisikia niko msimbazi polisi uwahi kuja kunitoa..!!Unamvesha, kisha unampiga search, ukikuta hela, unachukua kiasi chako, unampa chenji yake, kisha unamuuliza unatoa tip? Kama hatoi mpe haki yake, ataamua dera avue hapo ama akalivue nyumbani, ndio lishakuwa lake
Chap kwa haraka natimba na karatasi ya dhamana😹😹😹😹 Maka unafaa sana kwenye ushauri, Ngoja niufanyie kazi ila ukisikia niko msimbazi polisi uwahi kuja kunitoa..!!
Usichelewe wasije kunipeleka segerea 😹Chap kwa haraka natimba na karatasi ya dhamana
Haufiki, mie hapo ni chap kwa haraka.Usichelewe wasije kunipeleka segerea 😹
Uje tu ccy mie nitakungojaNakuja kuchukua nguo pana pana sis uniandalie
Yani tunapishana sanaMiss you more sisss tunapishana sana
Unazidi kuwaka tu sisss nafurahi kukuona tena