shisha hamna kitu mle, ni mbwembwe tu.
sisi watu tunaoamini katika africanism ideology huwa tuna prefer fresh, original and uncontaminated herb plant from the farm.
sijawahi kutumia shisha na wala sitakuja jaribu cos huwa nahisi mchanganyiko wake una makorokoro mengi ambayo sio rafiki kwa afya ya mwili na ubongo.
ni mtizamo wangu tu.
Sent using
Jamii Forums mobile app