Grahams
JF-Expert Member
- Mar 19, 2016
- 19,720
- 60,151
SawaSubiri nifanye mawasiliano nao
SawaSubiri nifanye mawasiliano nao
Acha uvivu andaa vizagazaga hivyo na vilivyo vingi🤣🤣 mie sina tabu napenda kupika ila wakuwapikia sinaWeeeh! Sio kweli
Anzia chief asili ya hapo town karibu na square au ile ya kizota..Ndio! Nimetafuta mtandaoni sehemu za Dom hamna, mpaka namiss Dar.
Urojo na mazaga yake unaweza kupika?Acha uvivu andaa vizagazaga hivyo na vilivyo vingi🤣🤣 mie sina tabu napenda kupika ila wakuwapikia sina
Chief asili niliendaga ya N.square nikakosaAnzia chief asili ya hapo town karibu na square au ile ya kizota..
Pia ngoja niulizie wadau nakupa mrejesho
Wamesema hawana na hawajawahi kua naoSawa
Naweza na ni rahisi sana yale mazaga yake ndio huchosha uanze kachori,nyama mayai mbogamboga crips bagia sijui nini 😁 uje kwenye rojo aisee bora uwe unapika mle wengi ila peke yako inatia uvivu kimtindoUrojo na mazaga yake unaweza kupika?
Nimeambiwa karibu na vunja bei barabara ya sita panaitwa arabian kama sijakosea wanauza hapoChief asili niliendaga ya N.square nikakosa
Nakuonea donge! Huku kuna sehemu nilikua nakunywa haukua mzuri kivile lakini nilikua naridhika.Naweza na ni rahisi sana yale mazaga yake ndio huchosha uanze kachori,nyama mayai mbogamboga clips bagia sijui nini 😁 uje kwenye rojo aisee bora uwe unapika mle wengi ila peke yako inatia uvivu kimtindo
Mashallah ajaribu hapo ephen_Nimeambiwa karibu na vunja bei barabara ya sita panaitwa arabian kama sijakosea wanauza hapo
Kwa hilo jina watakua tu wanauza, subiri niwasiliane nao nitume bodaNimeambiwa karibu na vunja bei barabara ya sita panaitwa arabian kama sijakosea wanauza hapo
Jamani polee urojo watu wanakosea kwnye lile rojo lenyewe linakua halina taste nzuri wengine wanafanya jepesi sanaNakuonea donge! Huku kuna sehemu nilikua nakunywa haukua mzuri kivile lakini nilikua naridhika.
We unaujulia basi jifunze kupika unaweza kuandaa mwingi ukatia kwa freezerUrojo mtamu bhana! Huwa napenda ujae kachori na crips halafu niweke pilipili iniwashe hadi kichwani
Huenda ilikuwa ni menu maalumu kwa wageni waoWamesema hawana na hawajawahi kua nao
Dah 🤣🤣 babu umejua kumshauriHuenda ilikuwa ni menu maalumu kwa wageni wao
Kama una mtu DSM mwambie wakupakilie kwenye sgr, ni mwendo wa kusubiri dakika 120 tu
Naamini hotel kubwa kubwa za hapa mjini watakuwa wanapika kwa oda
Umewahi kuishi Zanzibar nini?Urojo mtamu bhana! Huwa napenda ujae kachori na crips halafu niweke pilipili iniwashe hadi kichwani
Nishapata wanapouza nimewapigia simu wanao najiandaa kujilamba tu usikuHuenda ilikuwa ni menu maalumu kwa wageni wao
Kama una mtu DSM mwambie wakupakilie kwenye sgr, ni mwendo wa kusubiri dakika 120 tu
Naamini hotel kubwa kubwa za hapa mjini watakuwa wanapika kwa oda
Nimezaliwa na kukulia mtaa ambao Kwenye nyumba 10 basi 8 ni za waarabu, wasomali na wapemba.Umewahi kuishi Zanzibar nini?
Nimewahi kula pale Forodhani lakini sijafanikiwa kukupenda
Labda ukute anategemea kutuletea vitukuu (mama kija)Dah 🤣🤣 babu umejua kumshauri