ShesRise_1
JF-Expert Member
- Aug 21, 2025
- 16,938
- 40,044
We unaujulia basi jifunze kupika unaweza kuandaa mwingi ukatia kwa freezerUrojo mtamu bhana! Huwa napenda ujae kachori na crips halafu niweke pilipili iniwashe hadi kichwani
We unaujulia basi jifunze kupika unaweza kuandaa mwingi ukatia kwa freezerUrojo mtamu bhana! Huwa napenda ujae kachori na crips halafu niweke pilipili iniwashe hadi kichwani
Huenda ilikuwa ni menu maalumu kwa wageni waoWamesema hawana na hawajawahi kua nao
Dah 🤣🤣 babu umejua kumshauriHuenda ilikuwa ni menu maalumu kwa wageni wao
Kama una mtu DSM mwambie wakupakilie kwenye sgr, ni mwendo wa kusubiri dakika 120 tu
Naamini hotel kubwa kubwa za hapa mjini watakuwa wanapika kwa oda
Umewahi kuishi Zanzibar nini?Urojo mtamu bhana! Huwa napenda ujae kachori na crips halafu niweke pilipili iniwashe hadi kichwani
Nishapata wanapouza nimewapigia simu wanao najiandaa kujilamba tu usikuHuenda ilikuwa ni menu maalumu kwa wageni wao
Kama una mtu DSM mwambie wakupakilie kwenye sgr, ni mwendo wa kusubiri dakika 120 tu
Naamini hotel kubwa kubwa za hapa mjini watakuwa wanapika kwa oda
Nimezaliwa na kukulia mtaa ambao Kwenye nyumba 10 basi 8 ni za waarabu, wasomali na wapemba.Umewahi kuishi Zanzibar nini?
Nimewahi kula pale Forodhani lakini sijafanikiwa kukupenda
Labda ukute anategemea kutuletea vitukuu (mama kija)Dah 🤣🤣 babu umejua kumshauri
Ndiyo maana wakakufundisha kula urojo 😅Nimezaliwa na kukulia mtaa ambao Kwenye nyumba 10 basi 8 ni za waarabu, wasomali na wapemba.
Mawasiliano yao ni haya hapa 0718115927Kwa hilo jina watakua tu wanauza, subiri niwasiliane nao nitume boda
Babu mimi chai zako za moto🤣Labda ukute anategemea kutuletea vitukuu (mama kija)
Nakumbuka kuna ujauzito fulani wa Bibi yenu, alikuwa anataka chakula fulani Kinapatikana DSM pekee na wakati huo tulikuwa Mkoani
Bahati nzuri nilikuwa na cabin crew nafahamiana naye wa shirika fulani la ndege, ndiyo nilikuwa namwagiza 🙌
Akipendacho binti.......🤗
Babu utaniudhii😂Labda ukute anategemea kutuletea vitukuu (mama kija)
Nakumbuka kuna ujauzito fulani wa Bibi yenu, alikuwa anataka chakula fulani Kinapatikana DSM pekee na wakati huo tulikuwa Mkoani
Bahati nzuri nilikuwa na cabin crew nafahamiana naye wa shirika fulani la ndege, ndiyo nilikuwa namwagiza 🙌
Akipendacho binti.......🤗
Sio rahisi hamu ya urojo ije kirahisi hivyo bila kuwa mama kija 😅Babu mimi chai zako za moto🤣
Akipendacho binti mwanaume lazima atanunua🤣
Kwahiyo ndio kusema mtaka urojo tayali😎
Sawa we mtu mzima unayajua mengi😎Sio rahisi hamu ya urojo ije kirahisi hivyo bila kuwa mama kija 😅
Maujanja nimeyapata ya kudeka bado mimbaHata kama huna, lazima upambane kumpatia hicho akitakacho
Nimepata wasi Mjukuu, sio rahisi urojo upikwe Zanzibar, wewe hapo Dodoma upate hamu ghaflaBabu utaniudhii😂
Tumekula chumvi nyingi 🤭Sawa we mtu mzima unayajua mengi😎
Ndiyo ukute mimba imeingia, badala ya kutaka vitu vitamu vitamu kama ephen_ wewe unatamani kunusa harufu ya jasho lake tuMaujanja nimeyapata ya kudeka bado mimba
Nimeagiza bakuli 2 nazisubiri kwa hamuNimepata wasi Mjukuu, sio rahisi urojo upikwe Zanzibar, wewe hapo Dodoma upate hamu ghafla
Usikute Mkwe ameshafanya jambo, unashangaa kichefuchefu kwa mbali kinaanza 🤪
Hahaha.........kama unamaliza bakuli mbili, basi mkwe ajiandae kupokea mapacha kama sio baunsa (mtoto wa Kiume)Nimeagiza bakuli 2 nazisubiri kwa hamu