ephen_
JF-Expert Member
- Oct 28, 2022
- 19,517
- 71,241
Ndio! Nimetafuta mtandaoni sehemu za Dom hamna, mpaka namiss Dar.Hujapata adi leo???
Ndio! Nimetafuta mtandaoni sehemu za Dom hamna, mpaka namiss Dar.Hujapata adi leo???
Hivi hapo chief asili hawana?Kuna sehemu nilikua nakunywa wamefunga
Chief asili ulikuta urojo?Hivi hapo chief asili hawana?
Nimewahi kuona ramadhani ya mwaka Jana
Pole dear ukikosa kabisa tengenezaKuna sehemu nilikua nakunywa wamefunga
Ndiyo, labda ilikuwa kwa oda maalumu, ilikuwa ramadhani ya mwaka janaChief asili ulikuta urojo?
Subiri nifanye mawasiliano naoNdiyo, labda ilikuwa kwa oda maalumu, ilikuwa ramadhani ya mwaka jana
Weeeh! Sio kweliPole dear ukikosa kabisa tengeneza
mwenyewe japo ni kazi
SawaSubiri nifanye mawasiliano nao
Acha uvivu andaa vizagazaga hivyo na vilivyo vingi🤣🤣 mie sina tabu napenda kupika ila wakuwapikia sinaWeeeh! Sio kweli
Anzia chief asili ya hapo town karibu na square au ile ya kizota..Ndio! Nimetafuta mtandaoni sehemu za Dom hamna, mpaka namiss Dar.
Urojo na mazaga yake unaweza kupika?Acha uvivu andaa vizagazaga hivyo na vilivyo vingi🤣🤣 mie sina tabu napenda kupika ila wakuwapikia sina
Chief asili niliendaga ya N.square nikakosaAnzia chief asili ya hapo town karibu na square au ile ya kizota..
Pia ngoja niulizie wadau nakupa mrejesho
Wamesema hawana na hawajawahi kua naoSawa
Naweza na ni rahisi sana yale mazaga yake ndio huchosha uanze kachori,nyama mayai mbogamboga crips bagia sijui nini 😁 uje kwenye rojo aisee bora uwe unapika mle wengi ila peke yako inatia uvivu kimtindoUrojo na mazaga yake unaweza kupika?
Nimeambiwa karibu na vunja bei barabara ya sita panaitwa arabian kama sijakosea wanauza hapoChief asili niliendaga ya N.square nikakosa
Nakuonea donge! Huku kuna sehemu nilikua nakunywa haukua mzuri kivile lakini nilikua naridhika.Naweza na ni rahisi sana yale mazaga yake ndio huchosha uanze kachori,nyama mayai mbogamboga clips bagia sijui nini 😁 uje kwenye rojo aisee bora uwe unapika mle wengi ila peke yako inatia uvivu kimtindo
Mashallah ajaribu hapo ephen_Nimeambiwa karibu na vunja bei barabara ya sita panaitwa arabian kama sijakosea wanauza hapo
Kwa hilo jina watakua tu wanauza, subiri niwasiliane nao nitume bodaNimeambiwa karibu na vunja bei barabara ya sita panaitwa arabian kama sijakosea wanauza hapo
Jamani polee urojo watu wanakosea kwnye lile rojo lenyewe linakua halina taste nzuri wengine wanafanya jepesi sanaNakuonea donge! Huku kuna sehemu nilikua nakunywa haukua mzuri kivile lakini nilikua naridhika.