Selfika na JF: Snap it. Show it

Ww nae em kapeleke mkungu Huko, mwanaume mzima unatoa nnya.
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ unataka kutoa na wewee?? Njoo nikufunde mwali wangu, na huu mwezi ndio wa kujidaii, sema nikukatie tickets twende zetu taifa teule tukasherehekee, mambo yako πŸ”₯ huko, na Mzee Neta ni Mgeni rasmi.

Shughuri iko na tunatamba nayoo!!!
Poleee wee!! πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
β€œUkiwa muongo usiwe msahulifu” wao wanasahau km ndio walileta hayo mambo hata sikujua mpaka huyo Mbaga aliponiambia pm
 
Pawa mabula mtamu, n ww tuu na jasho zako za Kariakoo
 
Sili mikungu mm, Endelea na wanaume wako wanaokofukua
 
β€œUkiwa muongo usiwe msahulifu” wao wanasahau km ndio walileta hayo mambo hata sikujua mpaka huyo Mbaga aliponiambia pm
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ uduguu, una nini lakiniii?
Watu wana mambo mingii, kusahau ni muhimu atiii..
Woiiiiiiih!!!
 
Kwahy hua navaa suruali za kiume au za kike?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…