ShesRise_1
JF-Expert Member
- Aug 21, 2025
- 17,645
- 41,986
Humu ndani nilishagundua cheka na watu hapa hapa lakini ujue kabisa huko PM na mjini whatssp ni kuna uchambuzi wa hapa na paleMi sijui kitu, naimba tu maana sibling wangu kaamka ana muimbia paka wetu π
Mi hata Whatsap sina, huko upenuni malizaneni tu coz the world is a beautiful place.Humu ndani nilishagundua cheka na watu hapa hapa lakini ujue kabisa huko PM na mjini whatssp ni kuna uchambuzi wa hapa na pale
Anyway kile kiatu vp napata
Huko upenuni hata sina wala mtoto wa watu π π heka heka zangu ziko hapa hapaMi hata Whatsap sina, huko upenuni malizaneni tu coz the world is a beautiful place.
BaaasiiiiiiiiπKiatu hicho vepee, una taka uni andikie shairi!
Niliona najishusha kusema nilitakwa na wewe alooooo..!! πΉπΉπΉIla Lamomy kuacha kusema nilikuwa namtaka h imeniuma sana, mana ameongea mengi ila hilo la umuhimu ameliacha π
Nilisema nina mguu wangu mkubwa sijui ka utahimili!Huko upenuni hata sina wala mtoto wa watu π π heka heka zangu ziko hapa hapa
Baaasiiiiiiiiπ
πΉπΉπΉπΉ Wii hapo kudisco nje nje..!!πππAcha tu yaani ni kasheshe lecture anafundisha wa kausha damu wanakutumis sms ya vitisho π
Unavaa no ngapi mdogo wanguNilisema nina mguu wangu mkubwa sijui ka utahimili!
Mkuu with all respect, ume tumia equation zipi kuhitimisha mi ni mdogo wako?Unavaa no ngapi mdogo wangu
Kuna uzi mmoja hivi ulitaja myaka yako kama kweli basi utakua yank kwangu kwa miaka 2Mkuu with all respect, ume tumia equation zipi kuhitimisha mi ni mdogo wako?
Jibu mashambulizi kijana π
Kushindana na mwanamke, hiyo hapana.
Hata haistuiiii, ππππKuna kitu nilikuwa sielewi, ila hapa nimeelewa kitu
Asalamaleko π
Kushindana na mwanamke, hiyo hapana.
ππππ mabwakuuuu.Wewe koma nilikuanzishia wapi?
Baada ya kupost selfika pic lako si ndo ukaja pm kuniambia power mabula malayaa anajifanya anakujua kumbe Hakujui na akileta ungese unamchana nikakujibu nini??
Ukanipa na screenshot hizo.
Nikakwambia achana nao wapuuzi tu hao.
Kwahiyo wewe ulitaka tuselfike km power mabula anaweka kidoti cha wanja aonekane pisi kali πΉπΉπΉ
Mtu ambaye hata kuvaa changamoto watu tukiselfika full haamini anahisi sio sisi kwani anaishi na vitu gani huko??
Wewe na yeye wote mkome hivyo ndo nilivyo mumlaumu mama yangu kwa kunizaa.. πΉπΉπΉ
ππππUlale wapi? Ulijificha kwenye kona wewe..!!
Hii iwe mwanzo na mwisho kuniongelea pumbaless.. Nilikuwa nakusubiri unilete hapa si umesema unanijua?? πΉπΉπΉ
Ningeshangaa wewe unijue mimi?
Kumbe kuforce kuniomba pic pm ili tu baadaye ujitie unanijua?? We kumbe * * eehh!!
πππ mabwakuuu!!Na namba ukanipa na sijakutafuta na ukaja kujieleza jukwaani unataniana tu. Nikakuuliza kwani mimi na wewe tuna mahusiano? πΉπΉ
Bora mengine unikumbushe mwenyewe ππΉπΉ
Kwani hilo ndo tatizo?
Hivi ningekukubali ingekuwaje? πΉ
Sasa hivi ungekuwa unauza ubuyu hapa.
Mimi huwa niko mbele ya muda.
Mwanaume ambaye kidume kweli huwa simleti pm najua atanipata. Nawataka km nyie machale chale tupige soga..!!
Mwanaume km kiranga azame pm unafikiri naweza kuchomoa? πΉπΉ
ππππ nacheka km mwehuuu!!Muendelee kujichanganya vizuri πΉπΉ
Mbona hukurudi tena kusema km ulieleweshwa? Kwahiyo wewe unabeba ya huku unapeleka huko kisha unaleta huku??
Sasa mbona unajizungusha na kujichosha mwenyewe km pimbi..!! πΉ
Mwanaume kuwa mmbea mmbea hata hainogi Mbaga. Unafanya wanaume wenzio waonekane hamnazo..!!
Ko ndo ukawaambia Lamomy unamjua πΉ
Usikute na pic ya uongo ukawapa wewe hushindwiii πΉπΉ
Uliselfika Kumbe πΉKushindana na mwanamke, hiyo hapana.