realMamy
JF-Expert Member
- Apr 28, 2024
- 4,385
- 10,155
Thanks MandalaNimependa Avatar yako
Thanks MandalaNimependa Avatar yako
Tulia mzee..😅Si kule uliponiambiaga 🤭
Hahaha........kuwa na huruma na Wazee 😅
Selfika sasaThanks Mandala
KudadekiKaribu uje ufanyiwe massage na mchaichai 😜😅
KkooImeisha hiyo,ofc kariakoo au sinza?
Bei iwe nzuri
😹 Asije tu na mikunguni ya mkoani..!!Imekaa vzr
Naanzaje 😹Husahau nawee
Leo uliweka deal gani mezani? Umeanza ubabaifu mapema..!! 😹Picha ipi?
Hahahaha,hawezi, ila hii OFA hata Mimi nimeitamani😹 Asije tu na mikunguni ya mkoani..!!
Acha basiNaanzaje 😹
Wewe sasa unanitengenezea vipengele, umeni tag kama makubaliano yetu?Leo uliweka deal gani mezani? Umeanza ubabaifu mapema..!! 😹
Umenikumbusha kuna ijumaa moja miez kama 3 nyuma. Tulizunguka bar 4. Kuja kushtuka saa 10 alfajiri. Tuko Washkaj wanne na mafame wawili.Unalala ili ugundue nini shem, hapa kulala ni asubuhi🤣
Unaweza kuja na sis Joannah haina shida nitawapa room yenu..!!Hahahaha,hawezi, ila hii OFA hata Mimi nimeitamani
Ndio 😜Kudadeki
Ukija Uzi mpya wa hivi nitaselfika chap 😜Selfika sasa
Kwa namna ulivyonikaripia, wacha nijidunge zangu 🍷 nilale tuTulia mzee..😅
Uko vzr,naanza kuwa followers wakoNdio 😜
Hahahah umenikumbusha mbali.. sema sikuhizi siwezi haya mambo nasinzia bar🤣Umenikumbusha kuna ijumaa moja miez kama 3 nyuma. Tulizunguka bar 4. Kuja kushtuka saa 10 alfajiri. Tuko Washkaj wanne na mafame wawili.
Mm na mwana mmoja tukawatoroka. Wana wawil wakabak na pisi mbili.
asubuh kuwachek wana , hatuwapat. Na hatuna namba za wale wadada maana pisi moja ni ya msela na nyingne kuna mwana alizimika nayo siku ile ile first day.
Tumekuja kuwapata saa 10 jion. Eti wanasema walikamatwa na polisi 😂😂😂😂 wakawekwa ndan.
Ila baada ya siku 2 wakatuambia ukweli. Kumbuka wana wameoa.
Na wamerud kwa wake zao saa 10 jion next day 😂😂😂😂.
Dah. Balaa sana
Karibu sana Tresor 😊Uko vzr,naanza kuwa followers wako
Hahahaha pekee yangu siruhusiwi ?Sista ako sijamuonaUnaweza kuja na sis Joannah haina shida nitawapa room yenu..!!