Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Kauli yako sio ngeni masikioni mwangu.. nishaambiwa sana hii kauli.. mtu anakuna anasema wewe, mambo yako na ulivyo TOFAUTI šŸ¤£šŸ˜‚
Enzi nasoma walimu waliteseka sana. Linapigwa tukio mie naonekana nimo ila wanapinga sio kweli.
Mimi hata polisi tu hawakubali kama nimepiga mpiga debe iwe shule🤣
 
Hayo ndio maneno sasa šŸ˜
Sema bana ile pic ina balaa..!!

Zile ndevu sasa halafu unafanana na watu wa kaskazini.!!

Hao people ndo ugonjwa wangu mimi..!!
🤣🤣🤣🤣
Wale ambao tunapenda tall , rangi fulani halafu handsome ssšŸƒšŸƒšŸƒšŸ˜ŽšŸ˜mniache tafadhali
 
Back
Top Bottom