The ghost writer
JF-Expert Member
- Apr 5, 2023
- 777
- 1,590
Soon naweka picha live sifichi kitu na atakaye like Nampa vochaš¤
Basi kacheze unapochezagaNdio mshahara wangu pale KIBARUANI kwangu kwa muhindi.
Kina presha ya kutosha? š¹Kibomba kipo on
Mimi hata polisi tu hawakubali kama nimepiga mpiga debe iwe shuleš¤£Kauli yako sio ngeni masikioni mwangu.. nishaambiwa sana hii kauli.. mtu anakuna anasema wewe, mambo yako na ulivyo TOFAUTI š¤£š
Enzi nasoma walimu waliteseka sana. Linapigwa tukio mie naonekana nimo ila wanapinga sio kweli.
Wahi chap tajiriiiiii šSoon naweka picha live sifichi kitu na atakaye like Nampa vochaš¤
Hee unataka kiharage kipasuke au šKina presha ya kutosha? š¹
Ni mama tu wa kunizaa, typing errorSiogopiiii mamax ndio nani yakhee
Acha kunijaza,Hayo ndio maneno sasa š
Sema bana ile pic ina balaa..!!
Zile ndevu sasa halafu unafanana na watu wa kaskazini.!!
Hao people ndo ugonjwa wangu mimi..!!
HahahahaHee unataka kiharage kipasuke au š
Selfika basišNi mama tu wa kunizaa, typing error
š¤£š¤£š¤£š¤£Hayo ndio maneno sasa š
Sema bana ile pic ina balaa..!!
Zile ndevu sasa halafu unafanana na watu wa kaskazini.!!
Hao people ndo ugonjwa wangu mimi..!!
HahahahaKina presha ya kutosha? š¹
Hivi LAMOMY we ni mtu wa UVINZA mbona unazidisha sana chumvi? šš¤£Hivi pm yako sikujibu? š¹
Leo nakujibu maka..!!
Weka picha tuone kama anadanganyaHivi LAMOMY we ni mtu wa UVINZA mbona unazidisha sana chumvi? šš¤£
Pic yako nimesave na ya Ambition nimesave. Nataka niwaweke kwenye album yangu wakaka wazuri wa mwaka wa mbele..!!Usiniambie ushafanya ujasusi.. mna speed ya light? š¤š¤š«£š«£
Mimi naweza kukupa bureHakuna cha bure mzeeš¤£
Nini hicho unaweza kunipa cha bureMimi naweza kukupa bure
Unanibeba acha banaPic yako nimesave na ya Ambition nimesave. Nataka niwaweke kwenye album yangu wakaka wazuri wa mwaka wa mbele..!!
Yani km ndinga basi Maybach š¹
Sasa hilo balaa humu analo Makaveli na Ambition kazi tunayo Wog š¹š¹š¤£š¤£š¤£š¤£
Wale ambao tunapenda tall , rangi fulani halafu ha some sdšššššmniache tafadhali