makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 37,429
- 108,445
We ni mkorofi, ni wa kukusemea kwa mamaxkabisa 😂Humwagi chini 😅
We ni mkorofi, ni wa kukusemea kwa mamaxkabisa 😂Humwagi chini 😅
Sema ipo siku nitakuotea tu 😂Mganga alisema ni mara 1 tu, nikinogewa kitakachonikuta shauri yangu..
Nami nilisema TAWIRE, haina comeback ya fasta fasta 😂🤣
Hivi pm yako sikujibu? 😹Sawa lamomy.. nisamehe mimi 😂🤣
Siogopiiii mamax ndio nani yakheeWe ni mkorofi, ni wa kukusemea kwa mamaxkabisa 😂
Sema ww beiNinayo ya kwake kwa gallery una bei gani hapo mkuu😅
Maji ya moto umechemsha au utatumia ya baridi? 😹Nipe mahi puliiizzz
KumekuchaSawa lamomy.. nisamehe mimi 😂🤣
Kibomba kipo onMaji ya moto umechemsha au utatumia ya baridi? 😹
Usiniambie ushafanya ujasusi.. mna speed ya light? 🤔🤔🫣🫣😹😹😹😹 Kwahiyo tusiwasifie wakaka wazuri jamani..!!
Nikupe pic yake?
Kuna wale sijui wanaitwaje naonaga hawana bei kubwa nimewasahau tu! Sema kama hiyo nzuri pambana nayo kwanza..Nikiwa natumia dawa natumia full package sichanganyi
Sema huwa wanachakachua ila hii naona iko poa ma bei imevhangamka
Banza stone ft ndanda kosovo.. hapa tulikuwa wachache sana enzi hizoKumekucha
Tulia tutagawana hela magical girl 🤣Hivi unayo kweli?
Yap acha nitulie nioneKuna wale sijui wanaitwaje naonaga hawana bei kubwa nimewasahau tu! Sema kama hiyo nzuri pambana nayo kwanza..
Umetisha, Mtumishi,Kumekucha
Unayaweza 😹Vip shem lake
Ndio mshahara wangu pale KIBARUANI kwangu kwa muhindi.Chica Gee
Hii 100k inatosha
Nipo lelelele mpka nijue mwisho aiseeUnayaweza 😹