Tayana-wog
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 30,095
- 41,711
😁😁😁Sasa hilo balaa humu analo Makaveli na Ambition kazi tunayo Wog 😹😹
Baby wangu analo hilo balaa
😁😁😁Sasa hilo balaa humu analo Makaveli na Ambition kazi tunayo Wog 😹😹
Hilo halijawahi kuwa tatizo kwangu.. 😂Basi kacheze unapochezaga
PichaHukuona nini?
😎Hilo halijawahi kuwa tatizo kwangu.. 😂
Wapo wanaopenda wafupi usiogopeHalafu mie na ufupi wangu,ni selfike?
Hata mimi sikuona yako mkuuPicha
Hapo sawaNiitoleee wapi sasa 😀😀
Bora ningekuacha uamini ninayo😁Hapo sawa
Polisi hawakukubali kirahisi mie nimefanya..Nilipata msala, nikamletea mtu ukauzu, michezo ya kiSHOKOSHUGI, michezo ya kiYAKUZA.Mimi hata polisi tu hawakubali kama nimepiga mpiga debe iwe shule🤣
Maka niamini mimi wewe ni mkaka mzuri sana una vitu zangu, sijui kwann sijakusikiliza pm nikakujibu shit 😔We wanaokuita shemeji wakae nawe kwa makini sana maana sio kwa chumvi hizi,
Nyie ndio mnakuwa mnatwambia shemeji huyu hapindui kwako, kumbe umetoka kumsindikiza kwa mwingine 😂
Alikua naked kumbeeMaka niamini mimi wewe ni mkaka mzuri sana una vitu zangu, sijui kwann sijakusikiliza pm nikakujibu shit 😔
Yani wewe ni wale wakaka tuliokuwa tunarusha ngumi skonga kukugombania..! 😹😹😹
Halafu wewe au bhasiii……!!
Em tupia naked nyingine bhana..!!
Namna makaveli 2pac wetu wa JF 😍
Wewe ni mimi!Polisi hawakukubali kirahisi mie nimefanya..
Tuseme inshaallah 😀Sawa na pia watu wamepua nitaona mimi tu
Weka basi tumuone shem Wog 😍😁😁😁
Baby wangu analo hilo balaa
Weka now bana 😊Tuonane baadae
AmeenTuseme inshaallah 😀
Mmmh sidhaniWapo wanaopenda wafupi usiogope
Kwenye gari letu lile siti yako ni ile ileWewe ni mimi!
Kuwa na imani na Wazee 🤗Mzee mjanja mjanja mi sitaki