Jadda
JF-Expert Member
- May 20, 2019
- 31,540
- 88,485
Uagize lifike Arusha 😅😅 au liagize kwa halopesa 💃💃nahisi haujanizidi mimi kwenye kupenda t shirts,, shifoni siyo sana..
halafu nikuagizie wapi sasa??
Sent using Jamii Forums mobile app
Heri kutoa kuliko kupokeaJamani nawakumbusha tu leo ni tarehe 13 Dec. Bado napokea mialiko ya siku kuu hivyo msijikaushe.
Good morning.


wewe umebadili jina?
Jamani nawakumbusha tu leo ni tarehe 13 Dec. Bado napokea mialiko ya siku kuu hivyo msijikaushe.
Good morning.
Mabaharia wa subaru, mnahitajika kwenye kikao
Jamani nawakumbusha tu leo ni tarehe 13 Dec. Bado napokea mialiko ya siku kuu hivyo msijikaushe.
Good morning.


waendeshe uchi sasa
Mabaharia wa subaru, mnahitajika kwenye kikaoView attachment 1290475
Jamani nawakumbusha tu leo ni tarehe 13 Dec. Bado napokea mialiko ya siku kuu hivyo msijikaushe.
Good morning.



na niko huku Mbeya milimani sasa sijui tunafanyaje 


Uagize lifike Arushaau liagize kwa halopesa
![]()
Karma geuka nipo nyuma yako hapa, mimi ni huyu aliyevaa tshirt ya kijani na shati la njano
Oyah! Kama unatafuta mbinu za kuninyima naona kabisa unaelekea kufanikiwa 😂😂Aise mimi zawadi yangu nataka nikupe live siyo kwa kutuma,, hauwezi acha..na niko huku Mbeya milimani sasa sijui tunafanyaje
Sent using Jamii Forums mobile app





aise naona hii sasa hivi ndiyo status ya taifa maana kila mtu anapost,, by the way huwa inanichekesha.. wengine tulishaanza kupiga baruti kitambo sana hatuna haja ya kusubiri tarehe 15



nani kasema?? Hayo ni yako!!
Oyah! Kama unatafuta mbinu za kuninyima naona kabisa unaelekea kufanikiwa![]()
Mambo yote online dogo usikwame
Mkwe usinifanyie hivyo tafadhali.Heri kutoa kuliko kupokea
Habari ndio hiyo