Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

[emoji41] Mabaharia wa subaru, mnahitajika kwenye kikao
FB_IMG_1576216153688.jpeg
 
Aise mimi zawadi yangu nataka nikupe live siyo kwa kutuma,, hauwezi acha.. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] na niko huku Mbeya milimani sasa sijui tunafanyaje [emoji41][emoji41][emoji41][emoji41]
Uagize lifike Arusha [emoji28][emoji28] au liagize kwa halopesa [emoji126][emoji126]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Aise mimi zawadi yangu nataka nikupe live siyo kwa kutuma,, hauwezi acha.. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] na niko huku Mbeya milimani sasa sijui tunafanyaje [emoji41][emoji41][emoji41][emoji41]

Sent using Jamii Forums mobile app
Oyah! Kama unatafuta mbinu za kuninyima naona kabisa unaelekea kufanikiwa 😂😂
Mambo yote online dogo usikwame
 
Back
Top Bottom