Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Mzee zile za pima kiuno chini kadilia uliziacha mwaka gani😃

Wazee ndo ilikuwa zenu
Hahaha...........Wazee wengi tulikuwa tukivaa suluali bwanga miaka ile huku kichwani tukiwa na afro 🤗

Hii suluali kwenye picha, tulivaa maalumu tulipohudhuria tukio la kuapishwa kwa mtoto wa Chifu mwezi Januari mwaka 47 🤭
 
Nimekuwa kama mzee giggs, ujanani winga alipokuwa anamalizia akawa anatumika tumika ndani..
Sasa hivi napiga pasi hata DOBI haniwezi
Mkongwe mkongwe tuu kuna mwamba tunamwita Babu Pirlo kitaa😃age go kitambo kwenye game siku akija wote mnapoteana dimba mpk pumzi iishe ndo mnaanza kuonekana
 
Back
Top Bottom