win-one
JF-Expert Member
- May 28, 2024
- 8,839
- 29,988
sawa nakuchagulia ila upunguze ukali wa maneno babuNichagulie wewe mjukui wangu, neno la kusema
sawa nakuchagulia ila upunguze ukali wa maneno babuNichagulie wewe mjukui wangu, neno la kusema
Doh nllikua napika kipenzi saii nipo nmejaa telee fanya manuva kabla hawajajaa!Miss u more, nikakuwekea hadi picha...ulikuwa wapi jamani!
Nimeifuta fasta baada ya kupewa miongozo 😁😁😁
Inabidi kuomba rukhsa sasaDoh nllikua napika kipenzi saii nipo nmejaa telee fanya manuva kabla hawajajaa!
Kam kauwaaaaa anything for miongozoo yu know!! 💃💃😊😊😄
Inapendeza sanaaa
Ukimwomba hawezi kubali uweke yuleee nikukaa nae kimafiaa usimstue atadinda usitubless😊😊Inabidi kuomba rukhsa sasa
Sawa, ndio useme basi mjukuu wangu..sawa nakuchagulia ila upunguze ukali wa maneno babu
Boss Wog 😹
Uwakika middle 😃Tunapasha shahawa moto
Ni kiswahili cha kawaida tukulikua kuna haja ya kutaja neno "shahawa"
Ajitaid asikae nje muda mrefu wakati wa usiku😃Tayari ushakuwa maji ya jioni, punguza chumvi, punguza sukari, kunywa maji mengi, pumzika mapema.
Mzee zile za pima kiuno chini kadilia uliziacha mwaka gani😃View attachment 3601597
Hello Friday 🥂
Nimekuwa kama mzee giggs, ujanani winga alipokuwa anamalizia akawa anatumika tumika ndani..Uwakika middle 😃
Ameshakuwa maji ya duvi.. seli zimeanza kuchokaAjitaid asikae nje muda mrefu wakati wa usiku😃
Hahaha...........Wazee wengi tulikuwa tukivaa suluali bwanga miaka ile huku kichwani tukiwa na afro 🤗Mzee zile za pima kiuno chini kadilia uliziacha mwaka gani😃
Wazee ndo ilikuwa zenu
Aiseee umezidi sanaHahaha...........Wazee wengi tulikuwa tukivaa suluali bwanga miaka ile huku kichwani tukiwa na afro 🤗
Hii suluali kwenye picha, tulivaa maalumu tulipohudhuria tukio la kuapishwa kwa mtoto wa Chifu mwezi Januari mwaka 47 🤭
Mkongwe mkongwe tuu kuna mwamba tunamwita Babu Pirlo kitaa😃age go kitambo kwenye game siku akija wote mnapoteana dimba mpk pumzi iishe ndo mnaanza kuonekanaNimekuwa kama mzee giggs, ujanani winga alipokuwa anamalizia akawa anatumika tumika ndani..
Sasa hivi napiga pasi hata DOBI haniwezi
😆😆😆mbona bossBoss Wog 😹
Naomba utupie pic mupya nimemiss kukuona..!!
Heshima yako mkuu😃Hahaha...........Wazee wengi tulikuwa tukivaa suluali bwanga miaka ile huku kichwani tukiwa na afro 🤗
Hii suluali kwenye picha, tulivaa maalumu tulipohudhuria tukio la kuapishwa kwa mtoto wa Chifu mwezi Januari mwaka 47 🤭
Badae usiku watu wote mkitulia nitamwambia baby atume 😆Jaribu tena saii tuone mamchu
Kuwa na imani na Wazee mjukuu 🤭Aiseee umezidi sana
Nimepokea Mkuu 🙏Heshima yako mkuu😃