Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

f1262319-deb4-45a6-8739-95c36483b2d2.jpeg
 
Kifo tu ndo kitatungenesha!!

Si unajjua mvua izo sisi watoto wa kulima! Nilikua sehemu mmoja inaitwa nyida.

Narudi nikakutana na kivumbi tu hahaha.

I miss you bila wewe chino si lolote

Kama nilikuhisi hivi si unajua mtu chake kumbe nilikua sahihi
😹😹😹 wewe muda wote unalima huna likizo?
Chino mi nakupa talaka na hiyo talaka lazima niikatie sare nije kuifata nishakuchoka..!! Mwanaume gani upo km kakakuona? Unaonekana kwa manati..!!
 
Jamani shangazi wa mwadui umenunua blauzi mpya 😹😹😹

Sasa mbona mnafuta picha fasta hutaki tukusifie kwa kulevel up! 😹

Em achia phoro hilo waungwana tusuuze macho. Jiamini shangazi basi..!!

cocastic nimemiss kukuona udugu njoo uselfike darling Tayana-wog nipe mapicha ya mambele mi nataka kuiga fashooonn na pozi..!!
 
Jamani shangazi wa mwadui umenunua blauzi mpya 😹😹😹

Sasa mbona mnafuta picha fasta hutaki tukusifie kwa kulevel up! 😹

Em achia phoro hilo waungwana tusuuze macho. Jiamini shangazi basi..!!

cocastic nimemiss kukuona udugu njoo uselfike darling Tayana-wog nipe mapicha ya mambele mi nataka kuiga fashooonn na pozi..!!
Huu uzi mbona hauna picha kabisa siku hizi, njoo uselfike
 
Back
Top Bottom