Ambition plus
JF-Expert Member
- Feb 23, 2018
- 6,565
- 12,303
Tendea haki uziNimekaa ujue 🪑
Tendea haki uziNimekaa ujue 🪑
Tunakusubiri upite tuone hata kivuli🤣🤣 mi napita bhna
Kunani tenaJamani shangazi wa mwadui umenunua blauzi mpya 😹😹😹
Sasa mbona mnafuta picha fasta hutaki tukusifie kwa kulevel up! 😹
Em achia phoro hilo waungwana tusuuze macho. Jiamini shangazi basi..!!
cocastic nimemiss kukuona udugu njoo uselfike darling Tayana-wog nipe mapicha ya mambele mi nataka kuiga fashooonn na pozi..!!
Ukala sikukuu mwenyewe
Eid ipo Bado.Ukala sikukuu mwenyewe
Bwasheee 😊Ukala sikukuu mwenyewe
Ila sitaki ukoko mimiEid ipo Bado.
Inakuaje mangi?Bwasheee 😊
Umepotea sanaa weka selfie 🤳 tukuoneeInakuaje mangi?
Ngoja niangalie moja bwasheeeUmepotea sanaa weka selfie 🤳 tukuonee
Nyama na soda.Ila sitaki ukoko mimi
Nipo radar 😆☺️Ngoja niangalie moja bwasheee
zamu yangu imeshapita mkuu, nawasubii nyinyi pia!Tendea haki uzi
Weka picha ntakusemea kwa binti wa zamanii ☺️zamu yangu imeshapita mkuu, nawasubii nyinyi pia!
Hahahhaha ku nini😅Sijawahi😜
kiephen kinakuja kukuita mweupeHahahhaha ku nini😅
Chuki dhidi yangu Bwashee 😅kiephen kinakuja kukuita mweupe
kikisikia flani mchaga tu basi kinajua ni mweupeChuki dhidi yangu Bwashee 😅
Kuona saa kama hiyo.Hahahhaha ku nini😅