Selfika na JF: Snap it. Show it

Umeona eenh,, na ndicho nilichokuwa nawaambia jana..
Na nyinyi ndo mpo wengi

71% ya watanzania hawakuwa wamezaliwa kipindi mwinyi anamaliza muda wake wa Uraisi mwaka 1995.


65% ya watanzania waliopo Leo hawakuwepo pindi baba wa taifa mwalimu nyerere anafariki 1999


41% ya watanzania waliopo Leo hawakuwepo kipindi mkapa anamaliza muda wake wa uraisi 2005
 
Kumbe Nyerere alifariki 1991!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…