Mbaga Jr
JF-Expert Member
- May 28, 2018
- 51,682
- 124,746
Bc next time kabla hujapost niite Kwanza na uhakikishe nmefika Kwanza 😂Polee, 😅😀 kwishaaa wewe muulize Intelligent businessman
Bc next time kabla hujapost niite Kwanza na uhakikishe nmefika Kwanza 😂Polee, 😅😀 kwishaaa wewe muulize Intelligent businessman
Awapi sina huo Uoga, Jana nimetupia sana had naked nikapita shwaa.Mbona mnaselfika kwa uoga? 😹
Wewe tupia rasi hizo tuone, mbona Tayana anatupia bana..!!
Tupia pic zako OG zile ulitudanganya 😹Bc next time kabla hujapost niite Kwanza na uhakikishe nmefika Kwanza 😂
Nilikuita 😀 sijui ulikuwa unafanya ile kazi yako 🥲😀Bc next time kabla hujapost niite Kwanza na uhakikishe nmefika Kwanza 😂
Muongo 😹Awapi sina huo Uoga, Jana nimetupia sana had naked nikapita shwaa.
Mimi ni Chica na yeye ni Tayana 😊
H n reply yangu au umechanganya?Tupia pic zako OG zile ulitudanganya 😹
Unamjibia mbaga? 😹😂😂😂 sawa basi zile nimetupia ni zako😅
Ya kwako mimi sijawahi kukosea target 😹H n reply yangu au umechanganya?
Hamna, nilikuwa nimelala mapema tuu, jana Jmos ilikuwa siku ngumu kwanguNilikuita 😀 sijui ulikuwa unafanya ile kazi yako 🥲😀
Kwan zile Pic zina maajabu gn mpaka useme sio mm yule?Ya kwako mimi sijawahi kukosea target 😹
Tin afanye kujaa jamanii, hana baya kabisaa, si alitoka kwa kumuogopa yule Rabbit, aaahAje Tin jamani..
Tin wanaselfika tunakuomba uje tumemiss uzungu wako..!! [emoji3059]
Niliwahi kumfananisha na rafiki yangu kwa ile tone yake ya uhandishi..
Si ndiwoooo!!!Wog wa moto sana.
Ana vigezo vyote kisu haswaa..!!
😹😹😹 Na Mimi nilikua nasubiri km wewe zije OG sijui ulimtumia nani huko ili tuzione..!!Sawa zile sio zangu, nilete hizo zangu OG mlizonazo mana inaonekana mnanijua kuliko mm mhusika nnavyojijua 😂
Fanya kuweka vitu hapaaa!! Tupo lele leleee, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji28][emoji28][emoji3][emoji1]mnalala sana tatizo
Wee tupiaa bhanaa tuone Rasi, nishawishike kufuga sasa.Awapi sina huo Uoga, Jana nimetupia sana had naked nikapita shwaa.
Mimi ni Chica na yeye ni Tayana [emoji4]
Nimeona wewe ni Gentleman lakini nikasikia zile umetupiga kuna watu wanazo zako OG ndo nasubiri ziwekwe nikuone tena kwa Mara ya pili..!! 😹😹Kwan zile Pic zina maajabu gn mpaka useme sio mm yule?
Au ulitaka Pic za namna gn ili ujue yule n mm?
Au ww unanijuaje mpaka useme yule sio mm?
😎
Kumbe sio zake zilee? [emoji23][emoji23][emoji23]Tupia pic zako OG zile ulitudanganya [emoji81]
[emoji23][emoji23][emoji23]Unamjibia mbaga? [emoji81]
Mbaga aliambiwa pic zile sio zake ndo namwambia atupe OG [emoji1787]
Em tulia mparee, watu wanakujua kuliko unavyojijua, unaogopa nini? Kwani uongoo?? LolSawa zile sio zangu, nileteeni hizo zangu OG mlizonazo mana inaonekana mnanijua kuliko mm mhusika nnavyojijua [emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji81][emoji81][emoji81] Na Mimi nilikua nasubiri km wewe zije OG sijui ulimtumia nani huko ili tuzione..!!