cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 116,370
- 188,075
Hii ndio Selfika tunayoijua, sio ile ya bustishaa, [emoji23][emoji23][emoji23]Yani selfika imewakaa leo [emoji91][emoji91][emoji91]
Hii ndio Selfika tunayoijua, sio ile ya bustishaa, [emoji23][emoji23][emoji23]Yani selfika imewakaa leo [emoji91][emoji91][emoji91]
😹😹😹 Urisi lazima akupe wewe tena na ulivyo kisu anaanzaje kukataa??Na mimi nataka huo urisi 😂😂😂
Shem kanyookaaa km ruraaa, Baba mtumishi anasimamia anachokinena na anatendaa.Looo nimecheka leo
Shemeji yako hana baya[emoji41][emoji1787][emoji125]
Nipo najifunza natamani mkali zaidi ila mdogomdogo nitaivaYale mapishi yako huwa yanatuchanganya wengi sana 😍
HaswaaaaShem kanyookaaa km ruraaa, Baba mtumishi anasimamia anachokinena na anatendaa.
[emoji23][emoji23][emoji23]
Tumezima zote tumewasha picha za vogue na balenciaga tu! 😹😹😹Tayana-wog
Mama mtumishiiii, hizi codes unatoaga wapiii??
Tishaaa kinoumer noumer!! Yaan ni [emoji91][emoji91][emoji91]
Selfikaaaaaaaaaaaa!!! Mambo ni yenteee yenteeee!!
Tunazima zoteee, tunawashaa pichaa za leoo. [emoji91][emoji91][emoji91]
Hapa presha na bp imeshuka sasa. Nilishaanza kusikitikaTena lilikua limshangaziiii, [emoji23][emoji23][emoji23]
We mbaga usitutishie bana😃
Mama mtumishii, kuna mikoa wanatoka phaller kabisaa, sio kanda ya ziwa wotee.Haswaaaa
Kanda ya ziwa hatoki fala[emoji2][emoji2][emoji41]
Napendaga sana bagia za kunde, za dengu na samosa za pilipili. Najua wewe ni fundi hapoNipo najifunza natamani mkali zaidi ila mdogomdogo nitaiva
Si ndioooo!!! [emoji23][emoji23][emoji23]Tumezima zote tumewasha picha za vogue na balenciaga tu! [emoji81][emoji81][emoji81]
Tulia 😎We mbaga usitutishie bana😃
Hapa ss ndo balaaMama mtumishii, kuna mikoa wanatoka phaller kabisaa, sio kanda ya ziwa wotee.
Em taja mkoa mama mtumishii, [emoji23][emoji23][emoji23]
Usintishe 😹😹
Twende sawa na uzi sasa, maneno tupa kuleee.Hapa presha na bp imeshuka sasa. Nilishaanza kusikitika
Coca wewe ni jembe ukitulia mbona unawapeleka moto vizuri tu[emoji1548]
Bagia za kunde sijawah kuzipikab ila vilivyobaki najuaNapendaga sana bagia za kunde, za dengu na samosa za pilipili. Najua wewe ni fundi hapo
Usijarii mama mtumishiiiii. We ni konyooooo!! [emoji91][emoji91][emoji91]Hapa ss ndo balaa
NI kweli sio wote ni mkoa 1 hivi[emoji1787][emoji41][emoji41]