ShesRise_1
JF-Expert Member
- Aug 21, 2025
- 16,967
- 40,077
😂😂 kazi kweli kweliKwanini mnachat kama wapenzi? Ngoja muitwe lesbos🤣
😂😂 kazi kweli kweliKwanini mnachat kama wapenzi? Ngoja muitwe lesbos🤣
Sijajua wengine mi kwa 1st and 2nd born hakikutanuka kabisa nilibaki na mwili wangu uleule huyu sasa likifua limetanukaaaa mtrumbo huoooo nyonyo zinafika kiunoni!Kwani na kifua huwa hakipungui mtu ukiacha kunyonyesha?
huku kijijini kwetu mahiiiMika ndio wapi tena woii🤣
nimepata bans huku kijiji jirani,, asante kwa kutaka kunipa company🙃Naomba nikusindikize
Pole sana! Labda ujaribu kufanya dietSijajua wengine mi kwa 1st and 2nd born hakikutanuka kabisa nilibaki na mwili wangu uleule huyu sasa likifua limetanukaaaa mtrumbo huoooo nyonyo zinafika kiunoni!
Ngoja nione kama ntatoboa make saivi nakula mara tatu ya chakula nilichokuwa nakula mwanzo if not that ikiwa chakula kidogo kidogo but ntakula several times a day! Mtoto ni ananyonya sana kiasi Kwamba muda mwingi nahisi njaa inayonilazimu kula.Pole sana! Labda ujaribu kufanya diet
Kama unanyonyesha hauna ujanja, matiti yatapungua ukimaliza kunyonyesha ila tumbo sijuiSidhani kama ntatoboa make saivi nakula mara tatu ya chakula nilichokuwa nakula mwanzo if not that ikiwa chakula kidogo kidogo but ntakula several times a day! Mtoto ni ananyonya sana kiasi Kwamba muda mwingi nahisi njaa inayonilazimu kula.
Santo sana kwa mwongozo! Sema trumbo dahhh!Kama unanyonyesha hauna ujanja, matiti yatapungua ukimaliza kunyonyesha ila tumbo sijui
Watoto wa mwanzo tumbo lilipungua lenyewe bila kutumia njia yoyote?Santo sana kwa mwongozo! Sema trumbo dahhh!
NdioWatoto wa mwanzo tumbo lilipungua lenyewe bila kutumia njia yoyote?
acha tu ndugu yangu,umepotea mno ndugu yangu
Tumshukuru Mungu 🙏🏻acha tu ndugu yangu,
Namshukuru Mungu nimevuka salama..!🙌🏾
Wanaosema tumbo kurudi hadi ulifunge kumbe ni mbwembwe tuNdio