Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

😹😹😹 Fake P mwenyewe naona anaogopa tu! Nimepuliza kipenga hajaleta team uwanjani Kampa ushindi wa mezani mpinzani wake..!!

Wakati mwenzie alimlipua bila huruma mambo yao ya pm na shem Certified hater..!!
apewe muda saa tatu haijaisha 😂😂
 
😹😹😹 Fake P mwenyewe naona anaogopa tu! Nimepuliza kipenga hajaleta team uwanjani Kampa ushindi wa mezani mpinzani wake..!!

Wakati mwenzie alimlipua bila huruma mambo yao ya pm na shem Certified hater..!!
apewe muda saa tatu haijaisha 😂😂
 
Uwanja uwe safi leo saa 3 kuna pambano, hakuna kuita mods wanoko tunawajua..!!

Wenye picha zenu tulieni nazo mtaendelea kesho..!! Leo uwanja uko busy..!!

Hakikisha una popcorn na utulie kushuhudia which is which.. SAWASAWA? [emoji81][emoji81]

Nuzulati wifi njoo kijiwe kina uzinduzi huku
Kuna nini kunako selfika??
 
Jamaniii huo mpambano ni mda gani, maana nimetonywa huko tsup, kuwa kuna bonge la ubuyu hapa.
Sasa mbona hamna kitu? Aaaah ndo nini sasa kutuweka roho hea hea hivii?
Bora nikose kula, ila sio umbeaa, yaan nimetoka chimbo jana kushuhudia ubuyu wa moto, leo JF.

MAJIRANIIIII HUKUUUU. [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kuna nini kunako selfika??
We nawe Unapitwa siku hizi km mimi..!!

Udugu ni Depal na fake P wanamgombea certified hater. Unaambiwa toka jana humu JF kuliwaka mbaya..!!

Sasa huku na huku D kayamwaga yote kwamba fake p anamchunguza kila mara na wenyewe wanataka kufunga ndoa yeye kwanini hatulii km pilipili iliyootea makaburini 🤣😹😹😹

Sasa fake p naye kasema usinichezee saa 3 nakuja kuyamwaga yote uwanja wa nyumbani selfika..!! Ndo tunamsubiri hapa sijui bado hajakabidhi silaha aingie huku tuone hayo mapdf..!! 😹😹😹
 
Jamaniii huo mpambano ni mda gani, maana nimetonywa huko tsup, kuwa kuna bonge la ubuyu hapa.
Sasa mbona hamna kitu? Aaaah ndo nini sasa kutuweka roho hea hea hivii?
Bora nikose kula, ila sio umbeaa, yaan nimetoka chimbo jana kushuhudia ubuyu wa moto, leo JF.

MAJIRANIIIII HUKUUUU. [emoji23][emoji23][emoji23]
Mpambano ulitakiwa kuwa saa 3 lakini hamna kitu sasa sijajua fake p kaogopa au vipi?

Unaambiwa Shem ana dyudyu tramu warembo hawaelewi kila mmoja anataka kumiliki peke yake hataki kushare..!! 😹😹😹

Yote Tisa kumi D kapewa mpaka password ya id ya shem na fake p akituma msg pm D ndo anamjibu!! Upo hapo? Haiyaaa hea hea hiya hiya majotrooo 🤣😹😹😹
 
We nawe Unapitwa siku hizi km mimi..!!

Udugu ni Depal na fake P wanamgombea certified hater. Unaambiwa toka jana humu JF kuliwaka mbaya..!!

Sasa huku na huku D kayamwaga yote kwamba fake p anamchunguza kila mara na wenyewe wanataka kufunga ndoa yeye kwanini hatulii km pilipili iliyootea makaburini [emoji1787][emoji81][emoji81][emoji81]

Sasa fake p naye kasema usinichezee saa 3 nakuja kuyamwaga yote uwanja wa nyumbani selfika..!! Ndo tunamsubiri hapa sijui bado hajakabidhi silaha aingie huku tuone hayo mapdf..!! [emoji81][emoji81][emoji81]
[emoji23][emoji23][emoji23]
Ila JF ya moto nyie, ila mbona inasemekana kuwa Fake P ndo main chick wa CH, tena wakati D yuko na Mr miongozo,
Ila baada ya D kumwagana na Mr miongozo ndo akaanza kujiless kwa CH,

Afu unaambiwa CH ni church man, kumbe nae ni wale wale, [emoji23][emoji23][emoji23]

Mbona ubuyu huu niliupataga mda, kwani wee huna uduguu? Usiniambie hata kiduchu huna. Lol

Jamaniii wahusikaaa mkujeeeee hapaaa, mtuwekee yote msiache chochote.
Ili Mafile yakae mahala pake. [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom