cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 116,288
- 187,945
[emoji23][emoji23][emoji23]Mpambano ulitakiwa kuwa saa 3 lakini hamna kitu sasa sijajua fake p kaogopa au vipi?
Unaambiwa Shem ana dyudyu tramu warembo hawaelewi kila mmoja anataka kumiliki peke yake hataki kushare..!! [emoji81][emoji81][emoji81]
Yote Tisa kumi D kapewa mpaka password ya id ya shem na fake p akituma msg pm D ndo anamjibu!! Upo hapo? Haiyaaa hea hea hiya hiya majotrooo [emoji1787][emoji81][emoji81][emoji81]
Mbona mambo hiya hiya!! Hadi nywila ya JF D kapewa, watu wana kismati chao Mjini hapa.
Nacheka km mazuriii vilee, [emoji23][emoji23][emoji23]