Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 365,947
- 845,969
- Thread starter
- #408,721
huu wimbo kavi vile uliimbwa kwaajili ya ShesRise_1 na mimi
huu wimbo kavi vile uliimbwa kwaajili ya ShesRise_1 na mimi
Kumbe waliowahi walikula vinono.Kitambo hiyo jombaa! Saiz mpaka mashavu yameshuka!
Nimetuliarasii utulie hivyo hivyo
Utulivu ni asili yako 😊Nimetulia
Huenda maana siwezi jijua mwenyeweUtulivu ni asili yako 😊
Ahh wapi!Kumbe waliowahi walikula vinono.
Muda wa kukiwasha sio😅
Wamepekechana weee mpaka kila mmoja kakiwasha😆Maandalizj yote yameshakamilika😀🥸
Aanhh tabu yote yanini! Watakuwa hawana ustadi hao😀Mmoja anatafuta feni.. Mwingine anatafuta barafu😀
Jichanganye km hujakutana na bichwa komwe. JF ni kichaka…!! 😹😹😹anayesemaga hivo ni Lamomy
😁😁😁basi ngoja niendelee ku zoomJichanganye km hujakutana na bichwa komwe. JF ni kichaka…!! 😹😹😹
Kulikuwa na figo humu alikuwa anatupia picha Beyonce akasome, kumbe kidume cha mbegu. Niko nimekaa paleeeeee.
Huu Uzi naujua mwanzo mwisho na sisi ndo wachachuaji na wambea wakuu wa huu uzi. Tukiuamulia JF majukwaa yote yanahamiaga humu upo nyonyo? 👌😹😹
Kaa kwa password utauponza..!! 😹😹😁😁😁basi ngoja niendelee ku zoom
Jichanganye km hujakutana na bichwa komwe. JF ni kichaka…!!
Kulikuwa na figo humu alikuwa anatupia picha Beyonce akasome, kumbe kidume cha mbegu. Niko nimekaa paleeeeee.
Huu Uzi naujua mwanzo mwisho na sisi ndo wachachuaji na wambea wakuu wa huu uzi. Tukiuamulia JF majukwaa yote yanahamiaga humu upo nyonyo?![]()



Nimejikuta nimecheka🤣🤣🤣,mtu unasamehe Hadi kula kisa Uzi huu😷🙌Jichanganye km hujakutana na bichwa komwe. JF ni kichaka…!! 😹😹😹
Kulikuwa na figo humu alikuwa anatupia picha Beyonce akasome, kumbe kidume cha mbegu. Niko nimekaa paleeeeee.
Huu Uzi naujua mwanzo mwisho na sisi ndo wachachuaji na wambea wakuu wa huu uzi. Tukiuamulia JF majukwaa yote yanahamiaga humu upo nyonyo? 👌😹😹
hivi yule figo kumbe alikua njemba? nimelia sana😭😅,,,Jichanganye km hujakutana na bichwa komwe. JF ni kichaka…!! 😹😹😹
Kulikuwa na figo humu alikuwa anatupia picha Beyonce akasome, kumbe kidume cha mbegu. Niko nimekaa paleeeeee.
Huu Uzi naujua mwanzo mwisho na sisi ndo wachachuaji na wambea wakuu wa huu uzi. Tukiuamulia JF majukwaa yote yanahamiaga humu upo nyonyo? 👌😹😹
Nimejikuta nimecheka,mtu unasamehe Hadi kula kisa Uzi huu
![]()


