Grahams
JF-Expert Member
- Mar 19, 2016
- 18,798
- 57,312
Naona ulitaka kunipandisha presha zaidi hapo juu, umefanya hadi nikimbilie dawa zangu za presha Mkuu 😂
Naona ulitaka kunipandisha presha zaidi hapo juu, umefanya hadi nikimbilie dawa zangu za presha Mkuu 😂
Sasa kama hawajielewi😂Babu ana jitafunia tu vikuku vichanga vichanga , tatizo meno
Ningekua sipendi pombe kumbe na mimi ningefaidi😄Sasa kama hawajielewi😂
Nimekuelewa sana babu ake twende kazi😂💃🏽Kuwa na imani na Wazee Mjukuu 😊
Tangu mwaka 47, Wazee tumezoea kula aina moja ya chakula, kama ni ugali samaki ni huo huo tu, sio kama vijana leo chips, kesho wali ama burger, keshokutwa pizza n.k
Haswaa👌🏽Ningekua sipendi pombe kumbe na mimi ningefaidi😄
Tatizo nikishapata vitu vyangu naona nimemaliza😁Haswaa👌🏽
Fanya uniletee Kiko sasa Mjukuu, nimeshamaliza korosho zangu 😎Nimekuelewa sana babu ake twende kazi😂💃🏽
Kwani hujapata tu?Tatizo nikishapata vitu vyangu naona nimemaliza😁
Kumbe upo kama Mimi, nikuvuta zangu Kiko basi sina heka heka na Uzee huuNingekua sipendi pombe kumbe na mimi ningefaidi😄
Kwani bado tu hujaletewa?😆Fanya uniletee Kiko sasa Mjukuu, nimeshamaliza korosho zangu 😎
Nani wa kuniletea kama sio wewe Mjukuu jamani 😊Kwani bado tu hujaletewa?😆
Bwashee , unatuongopeaKumbe upo kama Mimi, nikuvuta zangu Kiko basi sina heka heka na Uzee huu
Mimi sitafutiKwani hujapata tu?
Hahaha............kweli hivyo, achana na hao wajukuu wameamua kunitania babu yaoBwashee , unatuongopea
Babu wang'ate tu , vijana tupo bize na pombe😁Hahaha............kweli hivyo, achana na hao wajukuu wameamua kunitania babu yao
Babu anasababisha wajukuu wafe na sukari huko💃🏽Babu wang'ate tu , vijana tupo bize na pombe😁
Si bora hayo meno ningekuwa nayo....babu yao nimezeeka ujueBabu wang'ate tu , vijana tupo bize na pombe😁
Wazae kabisa na watoto ili na sisi tukiwa wababu tuje kuwalea😆Babu anasababisha wajukuu wafe na sukari huko💃🏽
Naona unataka kunipandisha presha babu yako, hivi si unajua nawategema wajukuu kuniletea dawa pamoja na kiko 😂Babu anasababisha wajukuu wafe na sukari huko💃🏽
Hapa presha imepanda ujue, maana sio kunichomea hivyo utambi 😜Wazae kabisa na watoto ili na sisi tukiwa wababu tuje kuwalea😆