win-one
JF-Expert Member
- May 28, 2024
- 2,706
- 7,953
wamekusikiaNimesema tu ujumbe kwa wote
wamekusikiaNimesema tu ujumbe kwa wote
Yeah mtu anaefanya hayo hana tofauti na muuaji , hizi mambo zilikua twitter , na huu ujinga umeshamiri kwa sababu ya watu kuto jua sheria na haki zaowamekusikia
umeshamiri kwasababu Me wa sikuhizi wapo kama mabinti, ila kama wangekua wanajielewa yasingekua yanatokea haya,,Yeah mtu anaefanya hayo hana tofauti na muuaji , hizi mambo zilikua twitter , na huu ujinga umeshamiri kwa sababu ya watu kuto jua sheria na haki zao
Sasa sijui mtu anatuma humu kumdhalilisha mwenzake ili apate faida ganiumeshamiri kwasababu Me wa sikuhizi wapo kama mabinti, ila kama wangekua wanajielewa yasingekua yanatokea haya,,
aah sijui mwenyewSasa sijui mtu anatuma humu kumdhalilisha mwenzake ili apate faida gani
Nimeogopaa!!!si ndio,, Kwani mfano hauja uona kwenye deleted poto😅😅😅
Nani tena anashobokea vijana wa hovyo😅Endeleani kushobokea vijana wa hovyo tu , nimekaa pale 👉 nakunywa zangu bia za baridi tu😊
Hauniangushi hapo tu babu🤗Let me du ze needful😂
Uchawi usinipate tu sijahusika kwa namna yoyote ile😆Kuna sadaka ya kilinge hapa nipe mwongozo😁
😅😅😅Nimeogopaa!!!
Nimesema tu sijamaanisha fulani😄Nani tena anashobokea vijana wa hovyo😅
Aah hapana naitakasa kwanza kwa damu ya Yesu 🙆🏽♀️Cha mganga lakini😀
HaiyaaahhNimesema tu sijamaanisha fulani😄
Nipo nakemea hapa😖Kama nakuona vile😂