Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

nimeumia mtu katuma picha kwa upendo kabisa kwa ba mtu,, ba mtu nae akili za panzi kaenda kumsimulia rafiki ake na evidensi juu😪😆😆😆😆 si bora asingetuma ushahidi🥴🤭
Mamtu katuma picha kwa mteja! Bora angetuma kwa mpenzi wake kuliko kujiaibisha hivi🤭

Ndio shida ya kulala na vijana wadogo! Ona sasa😱
 
Mamtu katuma picha kwa mteja! Bora angetuma kwa mpenzi wake kuliko kujiaibisha hivi🤭

Ndio shida ya kulala na vijana wadogo! Ona sasa😱
je kama walikua wapenzi ila ba mtu kamgeuka na kumuita muuza K?🙄 wanaume wa jihefu ni watu wa kuogopaa😅😅🤠
 
watu hawaangalii kama tupo kwenye mfungo wanamwaga radhi kama hawana akili🙌🤠
Siku hizi hakuna kufunga bali kuna kushinda bila kula,😂
1771701089581.jpg
 
Back
Top Bottom