Lovelovie
JF-Expert Member
- Oct 2, 2021
- 12,971
- 26,952
Siku hizi sauti ishakua mbaya sanaZile za kipindi kile ulizokuwa unatuma ni voice note ama maana huu uzee tena
Siku hizi sauti ishakua mbaya sanaZile za kipindi kile ulizokuwa unatuma ni voice note ama maana huu uzee tena
Hii nzuri sana 10/10ukija niachie picha nitaikuta leo nipo sana humu😚😚😚
Sawa asante selfika na ww mdogo angu handsomeHii nzuri sana 10/10
Watanikamata nimemkosoa mama samia.Sawa asante selfika na ww mdogo angu handsome
😂😂😂😂Jifiche tu wasije kukubonda.Watanikamata nimemkosoa mama samia.
PSL god😂😂😂😂Jifiche tu wasije kukubonda.
Yule nilokuaga namuita mtoto angu anasoma chuo UDSM sijui UDOm yuko wapi?
Ana ID 120 huyu mtoto jamani uuuh.
Geuza camera nikuone mkuu.tuna kikaooo😁
Dada
Huyo alovaa saa kama namjua
Anaitwa nani😅Dada
Huyo alovaa saa kama namjua
Naogopa kumtajaAnaitwa nani😅
Hayupo humu we mtaje tuu😂Naogopa kumtaja
kama umejua yaani, leo nimefunga biashara nimeenda kuchezea maji ndiyo narudi nyumbani,Jitahidi kutoka Carleen usijifungie ndani, pia ongea na watu na just enjoy and have fun.
Akuu unaweza kusema jina mods wakakula kichwa chako name calling😄😄😁Hayupo humu we mtaje tuu😂
Ila na mimi uwa ni rafiki yako ,unakumbuka uwa nakujulisha progress za mamawatano naomba uwe unaniita kwenye hivi vikao na mimi nina maoni mazuri tuView attachment 3537102
Mambo ya mwisho wa mwezi na vicoba😂😂
Poker unamkumbuka yule dogo alotingisha meza yetu? Obe unacheka nini 😂😂😅 moudgulf tuna kikaooo😁
Hahahaaa herufi za mwanzo hawakudis bana!Akuu unaweza kusema jina mods wakakula kichwa chako name calling😄😄😁
Tatizo kikao cha mwanzo hukushiriki daktaree🤣Ila na mimi uwa ni rafiki yako ,unakumbuka uwa nakujulisha progress za mamawatano naomba uwe unaniita kwenye hivi vikao na mimi nina maoni mazuri tu